Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaumia ukiwa wapi?

Kwani nimelipa na pesa yako? Najua mnatamani tushindwe kulipa lakini utangoja sana.
Mmekuwa watumwa kwenye nchi yenu wenyewe yaani mnalipa kodi zinaliwa na mapoliticians harafu wanawachuuza Kwa wachina mmendelee kuwalipa tolls
 
Leo naweka barabara zinazozunguka Mkapa stadium, wale wanaosema imezungukwa na Kibera Waone
20250124_083833.jpg
20250124_083833.jpg
 

Attachments

  • 20250124_083841.jpg
    20250124_083841.jpg
    509.1 KB · Views: 25
Mmekuwa watumwa kwenye nchi yenu wenyewe yaani mnalipa kodi zinaliwa na mapoliticians harafu wanawachuuza Kwa wachina mmendelee kuwalipa tolls
Uzuri T unaishi maisha mazuri kuwaliko. Wewe uko hata na hiyo pesa ya kulipa Mchina?
 
Back
Top Bottom