Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii mali ya mchina itawagharimu pamoja unafurahia ni kama SGR yenu inavyowatesa, sisi tunajenga kwa fedha yenu geuri yetu.

Hii mali ya Mchina itawatesa, wewe furahi yale yale ya sgr yenu, sisi tunajenga kwa fedha yetu ni jeuri yetu
Endeleeni kujenga kwa fedha zenu za ndani kwani nani amewakataza.
 
Alooo, Kenya majokers 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
One thing you will never understand nor have the pleasure of experiencing is that most Kenyans criticize the government, and the same way that you criticize Kenya, you always say things like Talanta is a 30k seater or it will never be built, but that doesn’t mean it’s true, does it?
 
Kongwa-Dodoma πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/TagieDaisy/status/1882833335405392313?t=k3yOYUsguIUQecUPH-Xmfw&s=19
20250125_153036.jpg
20250125_153030.jpg
20250125_152930.jpg
 

πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila makunya na nyani tofauti ni life expectancy tu 🀣🀣🀣 unaona hilo lingine mpaka linamfundisha mchina namna ya kumnyuka vizuri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ₯Ί
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wachina watawamaliza hawa jamaa. Halafu kwanini ni wadhaifu sana.? mana huyo dogo wa kikenya amekunjwa na kajamaa kakichina kafupi ako. πŸ˜‚πŸ˜‚
Nilishapita site 1 kwenye shughuli za kikazi wachina wanatukanwa kama vibaka na maleba wa kitanzania, yaani wachina ndio wanawaogopa watanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sasa nikiangalia huku kundustans nacheka kweli, kuna eneo hata mchina hawezi kukaa kama mtanzania ni operator wa excavator anasema akili za mtanzania azieleweki hachelewi kumzika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na kuna case mbongo alishawahi kumshushia mchina kijiko akamzika site kwa hiyo wanawaogopa watanzania kama ukoma na adabu tele.
 
Back
Top Bottom