Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

City center ya Dar itakuwa poa sana BRT system ikiisha kabisa. Azikiwe na maktaba streets will be the best streets in East Africa.
Phase 3 of BRT will change completely the face of Dar es Salaam City
Itapendeza zaidi ikiwa only Blue gas powered Buses to be allowed in Dar cbd...
Waondoe kabisa bodaboda, tuktuks na Daladala City center baadae waondoe zile Hunting cables za internet
View attachment 3213379
Junction ya Bibi Titi na Azikiwe inavutia sana, zege tu. Nafikiri ndani ya mwezi hiki kipande cha Azikiwe kinaisha.
 
Unatuonyesha barabara yenye iko 10km away?
10km away.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ chizi kweli wewe.. nimepima kabisa hapo ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
IMG_3995.jpeg
 
Panawaka kinoma, jana nilikua hapo. Halafu panakula pavement mpyaa. Sidhani kama kutakua na mtaa wa kulinganisha na huu EA nzima.
Kitu kimoja wanatakiwa kufanya ni kuutengeza upya Mtaa wa Samora. Lami ya zamani haiko smooth,pavement haziko even from building to building. Huu mtaa wa kihistoria unahitaji face lift. Walifanya facelift ya Samora kutoka Clock tower hadi Morogoro road jumction(JM Mall) hawakumaliza barabara yote mpaka Askari Monument.
Kutoka Askari monument hadi Ocean Road Hospita wamefanya facelift.
 
Hizo LC zimepotea au wameuziana 3-5m? Gari inakufa fuel pump inaachwa ifubae ili mtu aje ajiuzie 4m. Tuongee mambo mengine.
Ndio nililelenga ikiwa Land cruiser wanaifanyia hivyo imagine Mwendokasi tena ya mchina 7 years.

Niseme tu siasa ni nyingi ilipaswa baadhi ya taasisi zijitegemee maamuzi hata mishahara pesa za kuendesha watoe kwenye huduma zao sio mtu yupo kwenye TGS D mpaka afike miaka 60 hata akizingua flesh tu na basi zikichoka wanaenda chota hazina kununua zingine.

Ilipaswa Mwendokasi ijitegemee kabisa pesa ikipungua na wafanyakazi wapunguzwe mishahara ipungue.

Kama Azam pale Sea taxi anafanya kweli kwa sababu anategemea pale so lazima awe serious no.

Ila wa vivuko ni TGS D plus siasa nyingi.
 
Kitu kimoja wanatakiwa kufanya ni kuutengeza upya Mtaa wa Samora. Lami ya zamani haiko smooth,pavement haziko even from building to building. Huu mtaa wa kihistoria unahitaji face lift. Walifanya facelift ya Samora kutoka Clock tower hadi Morogoro road jumction(JM Mall) hawakumaliza barabara yote mpaka Askari Monument.
Kutoka Askari monument hadi Ocean Road Hospita wamefanya facelift.
Mkuu yani kiufipi Posta inahitajika ipigwe renovation ya maana sana, barabara nyingi ni za kizamani, pavement zimechokaa.
 
Back
Top Bottom