The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
2017-2021 ni miaka 6 kumbe!!!!!??Wewe elewa kwamba deadline ni 2030.
Kama mlishindwa kumaliza km 300 Kwa miaka 6 hapo unashangaa nini?
2017-2021 ni miaka 6 kumbe!!!!!??Wewe elewa kwamba deadline ni 2030.
Kama mlishindwa kumaliza km 300 Kwa miaka 6 hapo unashangaa nini?
5 ,ndio ilikuwepo kwenye mkataba? Ilitakiwa izinduliwe 2019.2017-2021 ni miaka 6 kumbe!!!!!??
Sama boy 255 mdhamini huyu hapa.Si kweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kazi imekua ngumu na mikopo imekopwa kisawasawa na kazi hazionekani alaf tunatumia nguvu kubwq kuaminisha watanzania kupitia wasanii wote kua anakubalikaWewe elewa kwamba deadline ni 2030.
Kama mlishindwa kumaliza km 300 Kwa miaka 6 hapo unashangaa nini?
That Arusha mini Stadium nimeskia bado wanachimba foundation.
View: https://x.com/EricNjiiru/status/1882418436388909563
Hakubaliki Wala Bali anakubalika bibi yako.😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kazi imekua ngumu na mikopo imekopwa kisawasawa na kazi hazionekani alaf tunatumia nguvu kubwq kuaminisha watanzania kupitia wasanii wote kua anakubalika
Sasa mtu wa 40+ ni mzee? We mwenyewe hapo ulipo unakaribia 40 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa miaka 40+ unasumbuliwa na gari ambalo kijana wa miaka 30 anaendesha?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hakubaliki Wala Bali anakubalika bibi yako.
Mwisho kama kazi ni nyepesi Kwa nini mlishindwa kuzindua Sgr 2019? Kwani hamkukopa?
Ndio hivyo kateuliwa na imewakata.Unune ,ucheke pini 📍📍📍📍😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
yani mtu anateuliwa tu bila wajumbe kupiga kura hii sijawah ona kwakweli waliogopa mambo ya kupiga kura wakijua ataangukia pua
Ndio hivyo kateuliwa na imewakata.Unune ,ucheke pini 📍📍📍📍
Tafuta faraja nyingine sawa suku gang 😆😆
Si mlikuwanadanganywa na kujichekesha humu jukwaani na yule Jamaa yenu aliyewaokota 😁😁
Wapi treni mlizindua 2019? Unahamisha magoli 😆😆😆👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1882499948018843840?t=_Hj4eExKJhwiLKZ5JdoN4Q&s=19
Render ya Kundurenda ilikuaje vile?
Utopolo bana…!! 😄😄
View: https://www.facebook.com/groups/1615757968716806/permalink/3586807104945206/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Ndo mmegundua kufungwa hakuhusiani na uwanja mnaochezea!
ichoboy01
Nilikua sijui kama sports pesa ndio mdhamini wa ligi yetu,na hiyo citizen TZ anaijua nani 😀Au sio😂😂
Wakenya wengi ni vichaa...
Mtu hawezi fahamu kwamba kitu kimezima zaidi ya 20 times 😂😂😂