Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I see kwa kuflash Ubongo mko poa,
Wazee wa kujisifia baada ya kupata kastadium kwa kudra za CAF. Can't you get belittling?

Au ndo kukomaza fuvu?
Learn how to compose sentences my guy. Why are you all over the place?
Even grammar is becoming a problem? How do you interact with folks who don’t understand your mother tongue cause bruh i can barely figure out what you’re trying to communicate!
 
5 ,ndio ilikuwepo kwenye mkataba? Ilitakiwa izinduliwe 2019.
Reli gn hiyo unaongelea, hii hii iliyoanza 2017 ya kutoka Dar to mwanza au? Ikiwa mama mpaka leo analialia kuzindua Dar mwanza na aliachiwa Dar to Moro ikiwa karibu kuisha, wacheni siasa maji taka tuheshimu walichofanya waliotangulia. Kwa mfano, mama mpaka leo hana mradi wowote mkubwa wa kulikomboa taifa alioanzisha yeye, hapo unasemaje? Kama upo utaje, ila tuishi humo kwamba anaendeleza vya mtangulizi wake ambapo ilikuwa lazima aendeleze hata ungekuwa wewe, kisiasa lazima uendeleze, lasivyo wananchi wasingekuelewa, cz Tanzania ya sasa sio ya Nyerere.
 
Learn how to compose sentences my guy. Why are you all over the place?
Even grammar is becoming a problem? How do you interact with folks who don’t understand your mother tongue cause bruh i can barely figure out what you’re trying to communicate!
And how easy you think it is to understand your piece of writing with limited punctuation marks?
You, too, need to advance your English grammar.
 
Wacha majungu mbona TFF Presidents waliopita hawakufanya anachofanya?
Karia anatembea na upepo!
Kafanya nini? meni yanafanywa na serikali na sio TFF.
Waliokuza soka Tanzania ni Tenga na Malinzi, full stop!

Kumsifia Karia ni same na kusema Mama anaupiga mwingi ihali tunajia hana jipya zaidi ya mideni ya ajabu aliyoitia taifa!
 
Sportpesa kwmpuni ya Kikenya? Hebu chokora mavi huko nyuma
😂😂. Mwaga povu kabisa. Sportpesa is a Kenyan Company founded by Milestone games limited which is owned by a Kenyan called Ronald Kirauri.
Screenshot_20250124-065012~3.png
 
U need to have 51% before u claim anythig! BTW that sponsorship was a season before both Young Africans and Simba r no more wearing jersey with Sportpesa logo!
Na Bado usisahau Equity Bank, the biggest private Bank in East Africa is owned by a Kenyan. Operating in several countries with branches as far as DRC Kinshasa. Name one single company owned by a native Tanzanian bigger than Equity. Tanzania Waarabu ndio wamewabebea akili.
Screenshot_20250124-065849~2.png
 
U need to have 51% before u claim anythig! BTW that sponsorship was a season before both Young Africans and Simba r no more wearing jersey with Sportpesa logo!
Brookside, the biggest Dairy company in Africa is owned by a Kenyan😂. Hakuna Kampuni hata moja Kubwa Africa inamilikiwa na Mtanzania mweusi, alafu Mnajidanganya ati Wenye Biashara Kenya ni Wazungu sijui Somali 🤣.
Screenshot_20250124-070744~2.png
Screenshot_20250124-070841~2.png
 
Back
Top Bottom