Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bigger companies kitu gani na Sponsor mkuu wa Ligi yenu Tanzania ni Sportpesa, Kampuni ya Mkenya 😂😂. Nyinyi Kampuni zenu zote zinamilikiwa na Waarabu, Azam ni ya Muarabu na Citizen TV ni ya Mkenya SK.Macharia.
Hamuwezi shindana na Wakenya Kwa biashara my friend. You own nothing.
View attachment 3210633
Au sio😂😂
Wakenya wengi ni vichaa...
 
Bigger companies kitu gani na Sponsor mkuu wa Ligi yenu Tanzania ni Sportpesa, Kampuni ya Mkenya 😂😂. Nyinyi Kampuni zenu zote zinamilikiwa na Waarabu, Azam ni ya Muarabu na Citizen TV ni ya Mkenya SK.Macharia.
Hamuwezi shindana na Wakenya Kwa biashara my friend. You own nothing.
View attachment 3210633
Sportpesa kwmpuni ya Kikenya? Hebu chokora mavi huko nyuma!
 
Sportpesa kwmpuni ya Kikenya? Hebu chokora mavi huko nyuma!
Kenyans has the most shareholding in Sportpesa at 48% followed by Bulgaria at 26%,USA at 21%, UK 5%.

1737607295548.jpeg
 
I thought mko na land kubwa sana tz
How comes mnauziwa maplot 30 by 60!!!!
Hiii ni upuzi kwa nchi kubwa Ivo.

Ilifaa kuwa 100 by 200.
hatutaki kuwaiga nyinyi ng'ombe ambae mtu mmoja anamiliki eneo kubwa la kuweka 20m kenyans 😂😂😂😂
 
Bigger companies kitu gani na Sponsor mkuu wa Ligi yenu Tanzania ni Sportpesa, Kampuni ya Mkenya 😂😂. Nyinyi Kampuni zenu zote zinamilikiwa na Waarabu, Azam ni ya Muarabu na Citizen TV ni ya Mkenya SK.Macharia.
Hamuwezi shindana na Wakenya Kwa biashara my friend. You own nothing.
View attachment 3210633
sponser wa league ni NBC na azam tv

sport pesa ni sponser wa young africans na GSM bila kusahau kampuni kubwa kutoka dubai inaitwa whizmo

m bet ni sponser wa simba sport club na mo cola etc

huku kwetu kila club ina sponsers wakutosha na zinafanya vzr ndio maana league yetu ni ya 6 kwa ubora africa nzima

naomba nikuulize swali sasa nani ni mmiliki wa sportpesa ?
 
elewa point yake kwanza alaf jibu 😂😂😂
Hakuna point,jambo la msingi ilikuwa ziwe gas powered na ndivyo itakavyokuwa.Brand is not an issue.

Mwisho ila Sina hakika kina private operator alipewa Baadhi ya Barabara so labda hao ndio wanaweza leta brand tofauti
 
Back
Top Bottom