REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,239
- 10,926
Nilazima wajichanganye kwenye hayo makempu ili at least wapate chakula. Yaani Mikenya inakwenda kwenye misiba kwenda kula na kulalama eti wamewekewa chakula or nyama kidogo!Maisha huko ni magumu balaa yani hadi raia wa kawaida wanapenya kwenye kambi za wakimbizi ili kupata maisha safi (kimsingi ni maisha chafu ya kambini kwa wakimbizi) 😂😂😂 life in Kenya is very hard.