Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chinnese ownes stadium hakuna pesa ya mkenya hata centi hapo😂😂😂😂
Nenda google uangalie maana ya the word PROPRIETOR Alafu rudi.

1737660838726.jpeg



View: https://x.com/EricNjiiru/status/1882486089627394396
 
Tukiwaambia no slums in Tanzania wanaleta unplanned settlement, kitu wasichojua au huenda wanajua ila wanajifanya wehu ni kwamba, ni rahisi kumaliza unplanned settlement kama ambavyo tumekwishaanza but ni ngumu kumaliza slums cz slums ni umaskini uliopitiliza.
Just imagine kaka wanavyojiita East Capital,kumbe more than a half wanaishi kwenye slums nchi nzima,aibu sana!
 
Kwamba Wakenya zaidi ya nusu wanaishi Kibera and the likes? Hii list ni biased,itakuwa katengeneza Mtanzania maanake Tanzania haipo na Dar nzima tunaambiwa ni slum!
Na vile wanaringa na kiingereza nyingi kumbe ikifika jioni wanaenda kulala kwenye mabanda ya nguruwe🤣🤣
 
budda haijalishi imezima hata mara mia mbili sisi tunachojua tuna treni ya umeme ist an sentro africaaa
haya tunyeshe treni yenu ya ummeme 🙄🙄
Treni ya umeme ushuzi wa bata 😂😂😂
 
Mtu hawezi fahamu kwamba kitu kimezima zaidi ya 20 times 😂😂😂
Sasa hivi zimelala pale Pugu na Dodoma. Kesho saa 0500 vyuma vinaanza kufyonza umeme huku vinasogea kwa 160+kph.
Wewe kesho ukiamka vua nguo inama ukinuia zizimike njiani. Ndio faraja uliobaku nayo maana jiko la kuni huwezi kulibadili kuwa la umeme.
 
Sasa hivi zimelala pale Pugu na Dodoma. Kesho saa 0500 vyuma vinaanza kufyonza umeme huku vinasogea kwa 160+kph.
Wewe kesho ukiamka vua nguo inama ukinuia zizimike njiani. Ndio faraja uliobaku nayo maana jiko la kuni huwezi kulibadili kuwa la umeme.
Usinililie mimi, kitu lazima kipewe mwarabu 😂😂🤣
 
Back
Top Bottom