Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mashamba yako hadi Karen yakulimia viazi 🤣🤣🤣
Stop being desperate kijana wa Tandale. This is a screenshot from your link. Does this look like a farm to you?
Screenshot_20250107-142131.jpg

Yani hiyo nyumba na compound inakukaliabshamba la mihogo za Dar.
 
Utapata wapi kasehemu kadogo 600sqkm? Ni mbuga na vishamba vidogovidogo vya sukuma wiki the rest ni ma slums.
Hiyo 600sqkm has more economical activity and political influence than 1500sqkm of uswazi hovels
 
e

Nimekwambia mist tanzania walio nje wana prefer kutuma vitu nyumban mbadala wa hela yaan badala ya kumtumia mama usd 2000 nakuwa namtumia vitu vya dukani ili auze apate faida mara mbili
Na mimi ninakuambia kwamba hayo sio remmitances. Remmitances by definition ni hela, ni monetary. Lazima iwe ni pesa..
 
Usd 400 kwa mwezi watafanya investment gani huko kunyaland,while wakirudi likizo hata internet wanashindwa kuafford
Shida yako ni kuongea unayoyafikiria tu kwenye akili yako. And even if we go with your argument, still one can do much with $400 monthly in Kenya especially rural Kenya where the remmitances are actually mostly sent. Also, remittances are not specifically meant for investment, it could be pocket money or internet money as you put it.
 
Nyie watu kwa kupenda sifa, hivi na sisi tukiamua kutumia "first" kwenye miradi yetu kutakalika hapa?
  • EMU
  • Train speed 160km/hr
  • Power to every village
  • Gulfstream G700
  • Longest bridge
  • Airbus A220
  • HEP 2115MW
  • BRT
  • 16 lane road
  • Modern markets
  • Modern bus stations
  • Cape gauge railway
....
Ni mengi sana kwa kweli ila tunakausha tuu.
I’m slow but could you be kind to send me the name and picture of the 16 lane road
 
Nimekuambia iliharibiwa baada ya miezi 6, sio nyinyi mlipanda majani kwenye nguzo za Xpressway? Yalienda wapi ndani ya miezi sita? Huo ni uharibifu au tuiteje? Nyie hamko civilized kubalini ukweli, na ukitaka uharibifu zaidi niambie nikuoneshe. Huwa mnapiga picha za infrastructure wakati wa uzinduzi ili muendelee kuongopea watu but after uzinduzi infrastructure huwa zinakuwa hoi, iko wapi iko wapi likoni floating bridge? Si imeshakufa? Nyinyi hamko civilized wazee.
Kwa hivo expressway uliharibiwa kwa sababu majani yaliharibiwa, got you.
Unataka kuniambia hizo video zoote zinazozunguka mtandaoni hata kwa wageni wanaofika Kenya sasa hivi ni picha ya uzinduzi
Bro, kama huna argument, mwanaume unanyamaza tu usijiaibishe bure. Keep the little dignity that is still left if any..
 
Huyo anakula jasho lake. Bora hiyo kuliko kuwa ombaomba barabarani kwenye nchi jirani
Imagine mlemavu asie na pasipoti,anapataje ujasiri wa kuingiahuko kunyaland bila border police wenu kumtambua!hao omba omba ni wakunya wenzenu,nachowashauri tu njoeni muwachukue wezi wenu huku soin tutaanza kuwachoma moto
Screenshot_20250106_234808_Photos.jpg
 
Back
Top Bottom