Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We mshamba showroom inafanana hivi kama hujui.
Opis slike ni na voljo.
Hii inakaa kibanda ya mama ntilie. 😅
 
Jana mmoja wenu alisema hata hiyo draw haitafanyika Kenya. Less than 24 hours later, the storyline has changed to it's the only thing we'll do.

Do you guys remember when you said we'll not even construct talanta Stadium? Ile mshtuko itawapiga wakati tukihost both opening and closing ceremonies bado inapiga press-ups!!
Hamtoandaa Chan wala afcon msijiliwaze.
 
Kimsingi sina picha lakini gari zinakuwaga displayed ndani mtu akipita nje anaona. Hiyo ipo TA miaka na miaka, tangu nimezaliwa hapo palikuepo. Sasa sijui kwanini nyinyi mnaona fahari. Mwenzako amepost kale kakibanda ku brag. 😅
Wanajiitq watengenezaji wa mabasi ila kwa mwaka wanashindwa import walau chassis 200 kwa ajili ya mabasi tu, huku tanzania kila roro likitua lazima lishushe dozens ya mabasi
 
Wanajiitq watengenezaji wa mabasi ila kwa mwaka wanashindwa import walau chassis 200 kwa ajili ya mabasi tu, huku tanzania kila roro likitua lazima lishushe dozens ya mabasi
We build more than 3,000 buses in a year. So tukiwaambia we are big wings in Bus buildings mnafaa kutulia.
 
Back
Top Bottom