Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ujinga wako haina kipimo. Bongolala, naweza kukuletea picha kutoka hata Donholm ama Kasarani showing five buildings under construction.Wewe ni kichaa auu? Si uliweka mwenyewe picha ya kasehemu kadogo Ka kariakoo lkn ukakutana na more than 5 buildings u/c au co wewe uliweka hii picha 👇👇View attachment 3193857
The point here is, mlisema Kariakoo kunajengeka kuliko sehemu yoyote Nairobi. Ndio nikasema kama ni ukweli utupe picha kutoka Kariakoo inayokaribiana na ile ya Eastleigh niliyoweka humu tuone. Hii picha ya Kariakoo unayotembeza hapa ni mimi nilipost baada ya nyinyi kukosa jibu. Hadi kufikia sasa sijaona jibu.