Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

90% ya Dar hukaa ushago.

1000530654.jpg
 
Hio sio project ya government kabisa. NHC iko independent wanatafuta funds wenyewe wanajenga. Hata hivyo serikali ina oversee utendaji wao. Hii project ilisimama baada ya Magufuli kuisimamisha. Magufuli ni mjamaa sana alikuwa haelewi mambo ya kibepari. Sasa hivi inaendelea kwasababu mwenye kisu sasa hivi ana mlengo tofauti.

Shida yetu kubwa nayo ni kukosa dira kama Taifa. Kila Rais akija anakuja na mambo yake
What do you mean,NHC sio ya government? Yet it was established by Act of parliament and falls under the ministry of Lands…Are you sure? NHC ni government parastatal bro.
IMG_9611.jpeg


IMG_9591.jpeg
 
You envy America so much … it’s eating you from inside…. You talk shit yet nobody brings up the USA more than you…. Your favorite words …. Ka US mwanangu ,Mara ka Alaska, Mara Ka Arizona, New York of Africa na zingine mingi … your profile pic is Obama …. Come on man…. Just get a visa and come … stop being a Tandale keyboard warrior..🤣..your bull crap has no end and is showing!…🤣😄
Debunked 😂😂
 
Usipate tabu the government is in the process of renewing its executive fleet including the addition of a Gulf stream G700 and a Boeing 737 BBJ of which budget has been allocated for 737 BBJ in this financial year. The Gul stream G700 has already been delivered in December 2024.
Indeed because it’s prioritized considering other sectors are fully functional, no problem in the health sector, education etc…typical African government but unlike most governments being criticized, y’all be praising the ruling elite 😵‍💫
 
90% ya Dar hukaa ushago.

View attachment 3193128
Jamaa anatia huruma, sisi tunaweka picha za CBD yao ilivyo na roads hovyo yeye anatoa picha za nje ya jiji la dar aisee, hajui kama dar ni kubwa, anataka mpaka miji mipya iliyoanzishwa juzi yote iwe na lami kitu ambacho hakiwezani coz this is Africa mazee.
 
Huwa nakwambia ndani ndani huwa unaheshimu Kenya ndio maana standards zako za Kenya huwa juu ila za Vumbistan unaweka chini. Sasa useme hiyo barabara ya Yaya Center ni mbovu alafu hii hapa unasema ni nzuri? 😂 😂
Na ukumbuke video zote mbili zimefanywa na Bertin ambaye alikuja Kenya na lengo la kuonesha Kenya ilivyo mbovu hadi video zake alikuwa anatafutatafuta viaibu ilhali akiwa Tanzania anajaribu kutafuta angle zinazofanya mji ukae bora zaidi?

View: https://www.instagram.com/reel/C6TDqIZtfnr/?igsh=MXc4eWF0bTE4ZjRidA%3D%3D

Uninaikumbusha ile siku nilipost video ya Rosslyn ukaibeza ukaleta video ya Mbezi alafu hiyo mbezi imechakaa kinoma na barabara 90% hazina lami na unainsist ni nzuri yet Rosslyn iliyo na good landscaping na sidewalks na barabara zote lami unasema ni substandard. 😂😂

Kumbe sio mimi pekee, I watched that guy’s videos akiwa Kenya and I realized he was biased as hell.. in fact he uploaded a video ya expressway and I happened to be online so i clicked on it, then akai delete a few minutes later. The guy is doing a good job but when he starts talking you hear how biased he is
 
Kumbe sio mimi pekee, I watched that guy’s videos akiwa Kenya and I realized he was biased as hell.. in fact he uploaded a video ya expressway and I happened to be online so i clicked on it, then akai delete a few minutes later. The guy is doing a good job but when he starts talking you hear how biased he is
Kumbe aliweka Expressway akatoa. 😂😂
Nilikuwa nashangaa, mtu aje Nairobi mara mbili na asiweke video ya expressway ama Thika Road. Alafu akachukua video ya UoN anasema eti Nairobi looks busier than Dar kisa Nairobi Kila kitu Kiko CBD while Dar utapata kitu Kila place uko. Nilishangaa juu Nairobi hakuna mtaa hauna mall, universities ni nyingi sii UoN pekee, gorofa ziko Kila mahali unlike Dar ukitoka hilo eneo la CBD and around hupati gorofa tena.
The fact that YouTuber anayefocus kwa infrastructure anaweza kuja Kenya alafu akachukua video za Downtown lakini asichukue expressway inaeleza Kila kitu. The problem Hawa majamaa wako mashindanoni na sisi but sisi hatuko idhaa yao.
 

When this happens in the Nairobi, it’s breaking news 😂😂 yenu hata haifikangi kwa news because its normal. And btw this should be Chania Avenue, It could be Kindaruma Avenue not quite sure but still its just a stretch of 400Meters
 
Kumbe aliweka Expressway akatoa. 😂😂
Nilikuwa nashangaa, mtu aje Nairobi mara mbili na asiweke video ya expressway ama Thika Road. Alafu akachukua video ya UoN anasema eti Nairobi looks busier than Dar kisa Nairobi Kila kitu Kiko CBD while Dar utapata kitu Kila place uko. Nilishangaa juu Nairobi hakuna mtaa hauna mall, universities ni nyingi sii UoN pekee, gorofa ziko Kila mahali unlike Dar ukitoka hilo eneo la CBD and around hupati gorofa tena.
The fact that YouTuber anayefocus kwa infrastructure anaweza kuja Kenya alafu akachukua video za Downtown lakini asichukue expressway inaeleza Kila kitu. The problem Hawa majamaa wako mashindanoni na sisi but sisi hatuko idhaa yao.
Dude the video stopped playing then i was like what’s up with my network, then i refreshed the tv, nikapata haiko. It was the last video he posted akiwa Nairobi, then Akaanza kupost za Daresaalam lol 😂
 
Kumbe aliweka Expressway akatoa. 😂😂
Nilikuwa nashangaa, mtu aje Nairobi mara mbili na asiweke video ya expressway ama Thika Road. Alafu akachukua video ya UoN anasema eti Nairobi looks busier than Dar kisa Nairobi Kila kitu Kiko CBD while Dar utapata kitu Kila place uko. Nilishangaa juu Nairobi hakuna mtaa hauna mall, universities ni nyingi sii UoN pekee, gorofa ziko Kila mahali unlike Dar ukitoka hilo eneo la CBD and around hupati gorofa tena.
The fact that YouTuber anayefocus kwa infrastructure anaweza kuja Kenya alafu akachukua video za Downtown lakini asichukue expressway inaeleza Kila kitu. The problem Hawa majamaa wako mashindanoni na sisi but sisi hatuko idhaa yao.
Acha chuki zenu kwa vijana wa kitanzania.
Mnashindwa kujadili Maendeleo yenu mnaanza kujadili vijana wanaopambana kutangaza nchi za kiafrica.

Hata ile ishu ya Diamond Juzi ni chuki tu dhidi ya wabongo. Diamond hakuna na kosa lolote.


By the way sidhani kama kuna foreignor YouTuber yeyote aliyeicover Nairobi city kama Explore with Bertin

Hizi ni video zake.
Hii hapa Thika road

View: https://youtu.be/3-qgIjohGmc?si=6xtUIckm5Hd6hvNQ


View: https://youtu.be/aPAnSWmNu5o?si=rY6sGR0Nn8F7noat


View: https://youtu.be/yV3_ebyjCJw?si=dyr6YgSVNMATfkQS


View: https://youtu.be/aPAnSWmNu5o?si=qoy_yYOvkb0AwWvU
 
Dude the video stopped playing then i was like what’s up with my network, then i refreshed the tv, nikapata haiko. It was the last video he posted akiwa Nairobi, then Akaanza kupost za Daresaalam lol 😂
Just watch his videos akionyesha Dar. Mahali hakuna Barabara anafocus kwa manyumba, mahali Kuna Barabara anafocus kwa Barabara. Akiwa Kenya hata place Iko na Barabara poa ataenda jioni wakati garbage ishaaccumulate alafu camera itashinda kwa hiyo garbage with Bongolalas in the comments pretending to be shocked.
 
Back
Top Bottom