Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You don't prefer working in Tanzania, you just have no qualifications to work abroad. Mara ngapi mmeshikwa mkiuza madawa Afrika Kusini ama niite Teargas awaumbue? Otherwise mbona there are many Tanzanians living in Kenya than Kenyans living in Tanzania alafu kazi mnazofanya Kenya ni za upuzi upuzi na kuombaomba na kazi Wakenya wazofanya kwenu ni kazi respectable.
Et tanzanians in kenya, hakuna mtu anayejitambua ataprefer kufanya kazi kenya sabab hakuna jipya Aache the land of opportunities.
 
You don't prefer working in Tanzania, you just have no qualifications to work abroad. Mara ngapi mmeshikwa mkiuza madawa Afrika Kusini ama niite Teargas awaumbue? Otherwise mbona there are many Tanzanians living in Kenya than Kenyans living in Tanzania alafu kazi mnazofanya Kenya ni za upuzi upuzi na kuombaomba na kazi Wakenya wazofanya kwenu ni kazi respectable.
Haha inawezakana kweli hatuna qualification. Kuna watanzania wengi sana wako nje ila kawaida ya tanzanians hawapend kujishowoff kama nyinyi mtu akipata kazi ya kufagia tu ukoo mzima utajua. Kuhusu Madawa sehem ka South Africa hapo mwanzo ilikuwa rahisi watu kupata passport nyinyi wakenya, burundians mkatumia sana hiyo fursa kuchukua na kwa sabab South African wanakubali sana watanzania kuliko wa mtu wa taifa lolote Africa na kila mtu anayeongea wanassume ni mtz.
Pia kwenye ishu ya Madawa most individuals hawatumii passport za nchi zao kwa sababu ya tracking kuwa rahisi.
Na hata ukifuatilia ukamataji wa wauza Madawa kutoka tanzania kuanzia 2022 rate imepungua sana tena ni kama hakuna kabisa. Cases unaweza kuta ni mbili kwa mwaka au miezi .
 
Haha inawezakana kweli hatuna qualification. Kuna watanzania wengi sana wako nje ila kawaida ya tanzanians hawapend kujishowoff kama nyinyi mtu akipata kazi ya kufagia tu ukoo mzima utajua. Kuhusu Madawa sehem ka South Africa hapo mwanzo ilikuwa rahisi watu kupata passport nyinyi wakenya, burundians mkatumia sana hiyo fursa kuchukua na kwa sabab South African wanakubali sana watanzania kuliko wa mtu wa taifa lolote Africa na kila mtu anayeongea wanassume ni mtz.
Pia kwenye ishu ya Madawa most individuals hawatumii passport za nchi zao kwa sababu ya tracking kuwa rahisi.
Na hata ukifuatilia ukamataji wa wauza Madawa kutoka tanzania kuanzia 2022 rate imepungua sana tena ni kama hakuna kabisa. Cases unaweza kuta ni mbili kwa mwaka au miezi .
Kenyans don't show of either. It's the results that show off. 5 times more remittances. You don't need to show off when the results are speaking. Nyinyi endeleeni kuuza madawa ya kulevya.
 
NairobiWalker njo tuijadili hii picha.
Hapa ni Around Afya Centre Nairobi City Centre au CBD.

Tuachane na barabara za vumbi ambazo zipo kibao in Nairobi City Centre. Tujadili hivyo vihiace vifupi ( nissan) vinaelekea hadi migori au kisumu more than 350km.

Tatizo lenu mnaongea sana.
20250105_114139.jpg
 
Kenyans don't show of either. It's the results that show off. 5 times more remittances. You don't need to show off when the results are speaking. Nyinyi endeleeni kuuza madawa ya kulevya.
Showoff zipo sana and mnajulikana kwa hilo. Kuhusu remittances watanzania wanaprefer kutuma materials badala ya pesa. Ntakupa mfano in mozambique the leading bus company with over 500 busses ( Nagi investment) ni ya mtu wa shinyanga Sulaiman. Watu badala ya kutuma pesa wanaprefer wafanye manunuzi ya vitu kama mitambo ambayo wanakuja tena kuuza tanzania double profit.
Mfano mwingine ilikuwa maning nice badala ya kutuma pesa akawa ananunua direct magari China na kuyaingiza tanzania badala ya kutuma pesa ambayo in return bado angehitajika alipie 30% ya income tax.
Tukibaki na mfano tu wa mozambique 60% ya flour processing units in nampula and pemba are owned by Tanzanian and huwez kuta wanatuma pesa but the prefer making direct payment letsay kwa wakandarasi kwa majengo wanayokuwa wanajenga tanzania badala ya pesa ila kwa sababu wakenya hamna elimu ya ujasiliamali mnaona sifa kutuma pesa . Watanzania hawatumi pesa na zinazotumwa ni zile ndogo za kununulia mboga
 
Hawa ndugu hehehe, nakumbuka wakati tunafungua Kigamboni bridge walikuja sijui Mombasa gated Bridge, sijui likoni sijui DONGO Kundu kuwa zitakua biggest in Africa watu tukamaliza Tanzanite Bridge, Tunamalizia Kigogo Busisi Bridge ila wao wana "JIWE LA MSINGI" asee.
Ni watu ambao wanapanick sana na kukurupuka mwishowe ni aibu.
Wanaiogopa Tanzania kama ukoma.
Watatoa takwimu fake, kuandika uongo mitandaoni, kutuma spies Tanzania nk...ili tu Tanzania isiovertake kenya kwa GDP.

Kenyans have to Know GDP ya Tz ni kubwa kuliko mnavyozani...ni basi tu Tanzania sio pro west au rafiki kipenzi wa West...ila IMF na world bank wangeisha iname Tz kuwa na GDP ya $150 huko.

Juzi nimeangalia video ya treni ya SGR...kuna mzungu akakoment kuwa how can $85b economy have such infrastracture!

Tazama comments kwenye hii video. Wengi wanashangaa Tz inawezaje

View: https://youtu.be/NqckW-24Lco?si=YWFXcF3VdomzOBZX
 
Back
Top Bottom