Ni watu ambao wanapanick sana na kukurupuka mwishowe ni aibu.
Wanaiogopa Tanzania kama ukoma.
Watatoa takwimu fake, kuandika uongo mitandaoni, kutuma spies Tanzania nk...ili tu Tanzania isiovertake kenya kwa GDP.
Kenyans have to Know GDP ya Tz ni kubwa kuliko mnavyozani...ni basi tu Tanzania sio pro west au rafiki kipenzi wa West...ila IMF na world bank wangeisha iname Tz kuwa na GDP ya $150 huko.
Juzi nimeangalia video ya treni ya SGR...kuna mzungu akakoment kuwa how can $85b economy have such infrastracture!
Tazama comments kwenye hii video. Wengi wanashangaa Tz inawezaje
View: https://youtu.be/NqckW-24Lco?si=YWFXcF3VdomzOBZX
You need to get your head checked.Showoff zipo sana and mnajulikana kwa hilo. Kuhusu remittances watanzania wanaprefer kutuma materials badala ya pesa. Ntakupa mfano in mozambique the leading bus company with over 500 busses ( Nagi investment) ni ya mtu wa shinyanga Sulaiman. Watu badala ya kutuma pesa wanaprefer wafanye manunuzi ya vitu kama mitambo ambayo wanakuja tena kuuza tanzania double profit.
Mfano mwingine ilikuwa maning nice badala ya kutuma pesa akawa ananunua direct magari China na kuyaingiza tanzania badala ya kutuma pesa ambayo in return bado angehitajika alipie 30% ya income tax.
Tukibaki na mfano tu wa mozambique 60% ya flour processing units in nampula and pemba are owned by Tanzanian and huwez kuta wanatuma pesa but the prefer making direct payment letsay kwa wakandarasi kwa majengo wanayokuwa wanajenga tanzania badala ya pesa ila kwa sababu wakenya hamna elimu ya ujasiliamali mnaona sifa kutuma pesa . Watanzania hawatumi pesa na zinazotumwa ni zile ndogo za kununulia mboga
Sijakusoma, hii ni ya wapi na nini?
Haha kabla hawajanicheck mimi unatakiwa ukatibiwe uchizi kwanza. Remittances ni utumaji wa pesa kutoka akaunti moja kwenda nyingine mara nyingi kutoka nchi nyingine. Sasa yupi mwenye akili yule anayetuma pesa halafu aje akatwe 30 % income tax plus bank charges au yule atayenunua letsay used range rover na kuzisafirisha na Kuja kuziuza tanzania akabaki na faida juu.You need to get your head checked.
Hii ni TRC SGR train au?
You need to get your head checked.
Ila mkuu unawavua chupi mafukara mpaka sio poa, yn unacheza na CBD na kilimani tu π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£NairobiWalker njo tuijadili hii picha.
Hapa ni Around Afya Centre Nairobi City Centre au CBD.
Tuachane na barabara za vumbi ambazo zipo kibao in Nairobi City Centre. Tujadili hivyo vihiace vifupi ( nissan) vinaelekea hadi migori au kisumu more than 350km.
Tatizo lenu mnaongea sana.
View attachment 3192992
Tena usiombe akawa ni dada mwenye umri mdogo πHii barabara si ukikojolea tu unaacha shimo?ππ
Ni watu ambao wanapanick sana na kukurupuka mwishowe ni aibu.
Wanaiogopa Tanzania kama ukoma.
Watatoa takwimu fake, kuandika uongo mitandaoni, kutuma spies Tanzania nk...ili tu Tanzania isiovertake kenya kwa GDP.
Kenyans have to Know GDP ya Tz ni kubwa kuliko mnavyozani...ni basi tu Tanzania sio pro west au rafiki kipenzi wa West...ila IMF na world bank wangeisha iname Tz kuwa na GDP ya $150 huko.
Juzi nimeangalia video ya treni ya SGR...kuna mzungu akakoment kuwa how can $85b economy have such infrastracture!
Tazama comments kwenye hii video. Wengi wanashangaa Tz inawezaje
View: https://youtu.be/NqckW-24Lco?si=YWFXcF3VdomzOBZX
Subiri nielekee Westlands. Nyuma ya yale Majengo ya GTC.Ila mkuu unawavua chupi mafukara mpaka sio poa, yn unacheza na CBD na kilimani tu π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Yaani wanatumia vipanya kusafiri umbali karibu na Dar-Tanga?NairobiWalker njo tuijadili hii picha.
Hapa ni Around Afya Centre Nairobi City Centre au CBD.
Tuachane na barabara za vumbi ambazo zipo kibao in Nairobi City Centre. Tujadili hivyo vihiace vifupi ( nissan) vinaelekea hadi migori au kisumu more than 350km.
Tatizo lenu mnaongea sana.
View attachment 3192992
Umesahau wakaja na train ya escape from sobibo sisi tukamaliza na standard gauge railway ya umeme,but still wanachongoa mdomo kumbavuHawa ndugu hehehe, nakumbuka wakati tunafungua Kigamboni bridge walikuja sijui Mombasa gated Bridge, sijui likoni sijui DONGO Kundu kuwa zitakua biggest in Africa watu tukamaliza Tanzanite Bridge, Tunamalizia Kigogo Busisi Bridge ila wao wana "JIWE LA MSINGI" asee.
Kunyan wa hapa jf hawaijui nchi yao,otherwise wasingekua na mdomo humuNairobiWalker njo tuijadili hii picha.
Hapa ni Around Afya Centre Nairobi City Centre au CBD.
Tuachane na barabara za vumbi ambazo zipo kibao in Nairobi City Centre. Tujadili hivyo vihiace vifupi ( nissan) vinaelekea hadi migori au kisumu more than 350km.
Tatizo lenu mnaongea sana.
View attachment 3192992
Wanajua sn sema wanapenda kujikweza ilihali uchumi wao hafifu.Kunyan wa hapa jf hawaijui nchi yao,otherwise wasingekua na mdomo humu