Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,626
- 15,725
Angekuwa nazo hangeuliza ile swali wakati alichouliza was clearly shown in the videoYou are stupid. Yaaani 2024 unaongelea bundle. 😀 😀 😀 wakenya ni maskini sana.
Either maisha ndio umeanza juzi
Angekuwa nazo hangeuliza ile swali wakati alichouliza was clearly shown in the videoYou are stupid. Yaaani 2024 unaongelea bundle. 😀 😀 😀 wakenya ni maskini sana.
Either maisha ndio umeanza juzi
Ulitaka aonyeshe supermarkets zote za Dar ama?Video inaonesha supermarket moja tu tena ile ya hovyo hovyo.
ImperialCarsons?
Huyo hasemangi ukweli, sisi ndio tunamjua.
Katika hiyo list naijua fruitville tu!! Na ambayo pia sinywi, poor quality, zingine zote takataka tu!! Bora ninywe Ufresh kuliko taka taka hizo!!Hizi juice zote hapa ziko manufactured in Kenya, na zinapatikana kwa supermarket ya bongoslum. 🤣 🤣 🤣
1. Acacia Kids Juice
2. Frosti Juice
3. Fruitville
4. Orchid Valley
View attachment 3177938
Tanzania game kama sio ya Simba Vs Yanga hawaendi Stadium. This is FC Leopards Vs Sofapaka at Dandora Stadium.
View: https://x.com/Dollar__SM/status/1868351172740083805
Sasa kama mwenye supermarket ni mkenya unategemea atajaza sabuni za wapi, lazima ziwe za kunyaland kwasababu anapita nazo kimagendo, lkn kiukweli kabisa hizo products huku mtaani hazipo, kwanza over 90% ya watanzania hawana utaratibu wa kwenda supermarket, sisi tunatumia markets na ndiyo maana unaona serikali imejenga masoko mengi sana mapya cz uchumi wa mtanzania upo hivyo, no wonder the region on the matter of inclusive economy.Zinafanya nini kwenye shelves za supermarkets zenu kama hazinunuliki? Why would supermarkets stock items that don't sell? Unafikiri ni vilaza kama wewe?
I don’t care about the opinion of idiots like you who thinks having a wife is an achievement.No money, unfortunately