Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa kiazi sana huyo.

Bidhaa zao ni za kumulika kweli kweli kwa sasa. Kuna viwanda vingi sana vya bidhaa hizo za FMGs hapa Bongo.
Mimi bidhaa pekee ya kunyaland nayo tumia ni sabuni ya kuoga... Na ndio naipiga chini maana copy zimezidi. Imebakiza kale ka logo kasikoisha ila harufu yake imepotea completely.
Hio subuni nilitakq nimwambie Asian asiangalie label zinatengezwa Mbagala hizo!
 
Hio subuni nilitakq nimwambie Asian asiangalie label zinatengezwa Mbagala hizo!

Imeshanitoka kabisa hiyo. Kumbe ni za hapa hapa saivi hizo sabuni.

Kwa sasa hakuna product inayosumbua sokoni inayotoka kwao. Ila product za Bongo zinasumbua sana maduka yao huko kunyaland
 
Imeshanitoka kabisa hiyo. Kumbe ni za hapa hapa saivi hizo sabuni.

Kwa sasa hakuna product inayosumbua sokoni inayotoka kwao. Ila product za Bongo zinasumbua sana maduka yao huko kunyaland
Blueband bado maarufu
 
Imeshanitoka kabisa hiyo. Kumbe ni za hapa hapa saivi hizo sabuni.

Kwa sasa hakuna product inayosumbua sokoni inayotoka kwao. Ila product za Bongo zinasumbua sana maduka yao huko kunyaland
Ebu tuonyeshe hizo products za bongo zile zinasumbua in Kenyan supermarkets tucheke. 🤣 🤣 🤣 Tayari tushaona products mingi sana manufactured in Kenya kwa supermarket za bongoslum.

Ebu nionyeshe just three products from bongoslum hapa kwa hii video nicheke. 🤣🤣🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=nb3ufXlmXrY
 
Hata BBC tangia wahamie kibera wamekuwa ni wajinga na tabia zao za kikenya
kwann musitaje direct tanzania mpaka museme east africa au munaogopa watalii watavutiwa sana na tanzania??

wajinga ni nyie mpaka leo hamujabadilika bado munadhani dunia nile ile ile ya 90s ya uongo uongo na ujuaji😂😂😂😂
 
Ebu tuonyeshe hizo products za bongo zile zinasumbua in Kenyan supermarkets tucheke. 🤣 🤣 🤣 Tayari tushaona products mingi sana manufactured in Kenya kwa supermarket za bongoslum.

Ebu nionyeshe just three products from bongoslum hapa kwa hii video nicheke. 🤣🤣🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=nb3ufXlmXrY


Hii video iko na all supermarkets and retail outlets in kunyaland?
 
Hii video iko na all supermarkets and retail outlets in kunyaland?
Wewe nionyeshe product hata moja from bongoslum, wacha kulia. Hio ni a major supermarket in Kenya, na kupata any product from bongoslum nikama kutafuta sindano kwenye nyasi. 🤣 🤣 🤣
 
Wewe nionyeshe product hata moja from bongoslum, wacha kulia. Hio ni a major supermarket in Kenya, na kupata any product from bongoslum nikama kutafuta sindano kwenye nyasi. 🤣 🤣 🤣
Kwani trade balance Tz vs Ke ikoje? Maana kujua nani anamuuzia mwenzie vitu vyenye thamani ni kuangalia trade balance.. Hii ya kuangalia video za supermarkets ni childish.
 
Wewe nionyeshe product hata moja from bongoslum, wacha kulia. Hio ni a major supermarket in Kenya, na kupata any product from bongoslum nikama kutafuta sindano kwenye nyasi. 🤣 🤣 🤣

Ndio umeshajibu nilicho kuuliza hivyo?
 
Kwani trade balance Tz vs Ke ikoje? Maana kujua nani anamuuzia mwenzie vitu vyenye thamani ni kuangalia trade balance.. Hii ya kuangalia video za supermarkets ni childish.
Munatuuzia raw materials tunawauzia finished products. It's simple as that.
 
Back
Top Bottom