Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mwehu. Eti supermarket iliyokuwa kwenye ile video ni ya mkenya? Do you have any proof?

Alafu eti anapitisha bidhaa za Kenya na kuingiza Bongo kimagengo? In case that's true, what's your relevant authoritjes doing about it?

Alafu eti nyinyi hamna utaratibu wa kwenda supermarkets? Kwa hivyo hizo supermarkets zilizopo Dar na Tanzania nzima ni wakenya wanaenda?

Nyinyi vilaza hamkosangi vingizio, kawaida yenu sana
Wewe kichaa Tanzania ina inclusive economy, that's why we lead in trade issues in East and central Africa, ask your president for more clarification.
Tanzania exports raw materials to Kenya
Alafu hizo raw materials mnazifanyia nn wakati hamna viwanda. FYI we have many industries than all factories found in East and central Africa combined, that's why tunaongoza kwenye trade.
 
Some Kenyan made products in Tanzanian retail sector.

Cudburry Drinking Chocolate
Milo
Huggies
Colgate
OMO
Cerelac
Body lotions
Body belly oil
 
Back
Top Bottom