Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi juice zote hapa ziko manufactured in Kenya, na zinapatikana kwa supermarket ya bongoslum. 🤣 🤣 🤣
1. Acacia Kids Juice
2. Frosti Juice
3. Fruitville
4. Orchid Valley



View attachment 3177938
Mzee usipende kujifariji, tuna kampuni kama Azam na Mo, zote Zina manufacture vitu kama hivyo ulivypost wewe at a very low cost.
 
Hizi juice zote hapa ziko manufactured in Kenya, na zinapatikana kwa supermarket ya bongoslum. 🤣 🤣 🤣
1. Acacia Kids Juice
2. Frosti Juice
3. Fruitville
4. Orchid Valley



View attachment 3177938
Then what.?

Kuna brands karibu 20 za kuzalisha hizo juice. Kuwepo na hivyo vi kopo viwili vitatu, ndio nini.? Kwamba watu wasiwe na machaguzi mengi au.?
 
Hizi juice zote hapa ziko manufactured in Kenya, na zinapatikana kwa supermarket ya bongoslum. 🤣 🤣 🤣
1. Acacia Kids Juice
2. Frosti Juice
3. Fruitville
4. Orchid Valley



View attachment 3177938
supermarket zipo mpaka juice zinatoka UK, south africa, etc hakuna bidhaa inakataliwa kuingia tanzania swali je soko lipo ?? hata sabuni ya omo 10yrs ago ilikua na soko kubwa ila kwasasa omo haina soko kabisa tanzania kwasababu makampuni ya sabuni tanzania yanachuana vibaya mno. yani wewe hoja yako ni ya kipumbavu kabisa

au unataka kusema azam energy ikiuzwa kenya inamana hakuna energy zingine??
 
changamoto grid gani wakat umeme wa SGR unajitegemea na ndivo tuliambiwa au ni tofaut na hvo, kama hakuna mtu wakuwajibika reli itahujumiwa kila siku tutaskia changamoto za gridi lakini nyuma kuna ushuzi tu ulioza

hata kenya kwenye debt walianza hvo hvo yani kama 2021 debt to GDP ratio tanzania ilikua 37 na sasa 3 yrs ngoma inagonga over 55%, basi nakukumbush na kenya walianza hvo hvo na sasa hawana hata pesa yakulipa madaktari mpaka wakope kwasababu pesa zote zinaenda kulipa madeni😂😂😂😂😂

na sisi tuendelee kushangili tu
Unajitegemea kutokea wapi? Kwamba una grid independent? Na hata kama una grid independent kwani faults Huwa hazitokei?

Sielewi unachobisha hasa NJ kipi
 
supermarket zipo mpaka juice zinatoka UK, south africa, etc hakuna bidhaa inakataliwa kuingia tanzania swali je soko lipo ?? hata sabuni ya omo 10yrs ago ilikua na soko kubwa ila kwasasa omo haina soko kabisa tanzania kwasababu makampuni ya sabuni tanzania yanachuana vibaya mno. yani wewe hoja yako ni ya kipumbavu kabisa

au unataka kusema azam energy ikiuzwa kenya inamana hakuna energy zingine??
Na kama itatokea wakaruhusu kuingiza bidhaa zetu huko kwao, basi vi brand vyao uchwara vyote vitajifia.
 
faulo gani ww muda ushaisha goli linaingia dakika ya 10 😂😂😂😂😂😂
😂 mkuu ni dakika ya 8 bhana. Halafu hata hivyo jamaa walikua wanapiteza muda sana. Refa alifidia muda walio upoteza.
 
Na kama itatokea wakaruhusu kuingiza bidhaa zetu huko kwao, basi vi brand vyao uchwara vyote vitajifia.
kwa sasa hawawezi tena kushindana na product za tanzania kutokana na bei, uzalishaji wa kenya ni expensive kulinganisha na tanzania, mm juzi numetoka mombasa, wasaga mirungi wengi wanatumia azam energy kwasababu ni bora na pia ni cheap kulinganisha na energy zao tena hili swali nimeuliza na nikajibiwa hvo 😂😂😂😂
 
😂 mkuu ni dakika ya 8 bhana. Halafu hata hivyo jamaa walikua wanapiteza muda sana. Refa alifidia muda walio upoteza.
IMG_2149.jpeg
 
Then what.?

Kuna brands karibu 20 za kuzalisha hizo juice. Kuwepo na hivyo vi kopo viwili vitatu, ndio nini.? Kwamba watu wasiwe na machaguzi mengi au.?
Viwili vitatu na zime occupy half of the fridge. Juice ngapi za bongoslum zinauzwa Kenya?
 
supermarket zipo mpaka juice zinatoka UK, south africa, etc hakuna bidhaa inakataliwa kuingia tanzania swali je soko lipo ?? hata sabuni ya omo 10yrs ago ilikua na soko kubwa ila kwasasa omo haina soko kabisa tanzania kwasababu makampuni ya sabuni tanzania yanachuana vibaya mno. yani wewe hoja yako ni ya kipumbavu kabisa

au unataka kusema azam energy ikiuzwa kenya inamana hakuna energy zingine??
Hio Azam yenu hata kuipata ni bahati. 🤣 🤣 Si mulituambia hakuna Kenyan products huko bongoslum.
 
Back
Top Bottom