Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama mwenye supermarket ni mkenya unategemea atajaza sabuni za wapi, lazima ziwe za kunyaland kwasababu anapita nazo kimagendo, lkn kiukweli kabisa hizo products huku mtaani hazipo, kwanza over 90% ya watanzania hawana utaratibu wa kwenda supermarket, sisi tunatumia markets na ndiyo maana unaona serikali imejenga masoko mengi sana mapya cz uchumi wa mtanzania upo hivyo, no wonder the region on the matter of inclusive economy.
Wewe ni mwehu. Eti supermarket iliyokuwa kwenye ile video ni ya mkenya? Do you have any proof?

Alafu eti anapitisha bidhaa za Kenya na kuingiza Bongo kimagengo? In case that's true, what's your relevant authoritjes doing about it?

Alafu eti nyinyi hamna utaratibu wa kwenda supermarkets? Kwa hivyo hizo supermarkets zilizopo Dar na Tanzania nzima ni wakenya wanaenda?

Nyinyi vilaza hamkosangi vingizio, kawaida yenu sana
 
Katika hiyo list naijua fruitville tu!! Na ambayo pia sinywi, poor quality, zingine zote takataka tu!! Bora ninywe Ufresh kuliko taka taka hizo!!
Uzuri ni kwamba zinauzwa. Unafikiri wewe kutonunua inazuia wengine kununua? Ingekuwa hazinunuliwi wala hazingepatikana kwenye shelves zenu.
 
Ulitaka aonyeshe supermarkets zote za Dar ama?
Wewe genius unaweza kufanya concludion ya bidhaa kuwa zimejaa Tanzania kwa kuangalia supermarket moja? Kulikuwa na supermarket moja inaitwa Food Lovers full of SA products. Kwahio aje mtu from SA aende Food Lovers halafu aje na conclusion kuwa Tz supermarkets zimejaa products za SA atakuwa sawa?
 
Wewe ni mwehu. Eti supermarket iliyokuwa kwenye ile video ni ya mkenya? Do you have any proof?

Alafu eti anapitisha bidhaa za Kenya na kuingiza Bongo kimagengo? In case that's true, what's your relevant authoritjes doing about it?

Alafu eti nyinyi hamna utaratibu wa kwenda supermarkets? Kwa hivyo hizo supermarkets zilizopo Dar na Tanzania nzima ni wakenya wanaenda?

Nyinyi vilaza hamkosangi vingizio, kawaida yenu sana
I have watched this supermarket and there are few things I have observed.

1. Most products are Manufactured in Kenya.
2. Tanzanians are still not used to formal retails, look at how that supermarket is empty.
3. Kenyan banks are really penetrating Tanzanian market.


View: https://youtu.be/mjvOrot5Ux0?si=ZoW2mIwZ5a5OR_is
 
Wewe genius unaweza kufanya concludion ya bidhaa kuwa zimejaa Tanzania kwa kuangalia supermarket moja? Kulikuwa na supermarket moja inaitwa Food Lovers full of SA products. Kwahio aje mtu from SA aende Food Lovers halafu aje na conclusion kuwa Tz supermarkets zimejaa products za SA atakuwa sawa?
Video ilitolewa na mganda. Angefaidi nini kuja dar is slum to promote Kenyan products? Si angefanya hivyo za kwao?
 
Wewe genius unaweza kufanya concludion ya bidhaa kuwa zimejaa Tanzania kwa kuangalia supermarket moja? Kulikuwa na supermarket moja inaitwa Food Lovers full of SA products. Kwahio aje mtu from SA aende Food Lovers halafu aje na conclusion kuwa Tz supermarkets zimejaa products za SA atakuwa sawa?
Muulize kama bidhaa zao zimejaa Tanzania, mbona export yao kwetu nu ndogo kuliko yetu kwao?
 
I have watched this supermarket and there are few things I have observed.

1. Most products are Manufactured in Kenya.
2. Tanzanians are still not used to formal retails, look at how that supermarket is empty.
3. Kenyan banks are really penetrating Tanzanian market.


View: https://youtu.be/mjvOrot5Ux0?si=ZoW2mIwZ5a5OR_is

Alafu tukiwaambi Kenya has the biggest retail market in the region wanasema tunapika data wakati hata wao wenyewe wanakiri kwamba supermarkets zao ni empty
 
Teargas Ninaanza kazi. Made in Tanzania

1734372873730.png
 
Back
Top Bottom