Picha la kutisha kwa kundustan 🤣🤣🤣
Kwa akili yako inamake sense muwe na 2 fold of energy cost compared to Tanzania halafu products ziwe cheaper kuliko Tanzania?
View: https://x.com/jumaf3/status/1617801777738547203?t=tpCIZ2BX5dhRY6iAHE0ZHQ&s=19
Vyuma vinashuka tuu 🔥
Kalilie Chooni 😂😂😂😂Tayari nishaona Nice & Lovely lotion, Kericho gold tea, gofruit juice. 🤣 🤣 🤣 Na bado munajidanganya hakuna products za Kenya bongoslum.
Zaidi ya Royco na Omo sijaona biashara ya mkenya TzHivi ni vitu gani? Mbona ndio nasoma hapa saiv!?
Hebu tuone hizo products zikiwa kwenye shelf za supermarket.
Hakuna anaenunua dairy products kunyaland... Huku ziko kampuni nyingi sana na bei rahisi.. UG alijaribu na lato akafeli vibaya sana amekimbia.
Velvex tissue za wahindi wana kiwanda mikocheni.. Softcare ya wachina wana kiwanda kibaha.
Hizo juice ndio zimejazana hapa za no, azam, jambo etc... Za nje common ni moja tu ceres ya SA. Hakuna bidhaa ya kunyaland kwenye shelfs za wabongo
We ng'ombe kweli contrade ndio nani? 😂😂😂😂
Mwaka sio siku nyingi na ni Cha kwanza TanzaniaKimeanza siku nyingi karibia mwaka sasa.
1200MW coming up soon. 700MW dam and a 500MW solar plant at the same site.
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1868128856730976281
Leta data za knbs sio hizo takataka za akili mnemba
Wapumbavu kweli hawa watu, ni hivyo tu BOT wapo slow kwenye kutoa taarifa ila taarifa genuine za BOT zinaonesha Tanzania ndio inaiuzia Kunyaland zaidiWamezoea kudanganyana hawa.
Ni national debate mpaka kesho 😂😂😂Nyang'au wanaumia sana wakisikia Ruto anasema hivyo hadharani😎
Ngoja nikuambie ukweli, hizo products hazipo Tanzania na kama zipo hazinunuliki kabisa, mtaani hazipo.Atakuambia they don't use those products yet zimejaa supermarkets zao and are being restocked every now and then
Me mwenyewe hata sielewi ni vitu gani, Nicxie anakuambia vimejaa bongo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ni vitu gani? Mbona ndio nasoma hapa saiv!?
Hebu tuone hizo products zikiwa kwenye shelf za supermarket.
Hakuna anaenunua dairy products kunyaland... Huku ziko kampuni nyingi sana na bei rahisi.. UG alijaribu na lato akafeli vibaya sana amekimbia.
Velvex tissue za wahindi wana kiwanda mikocheni.. Softcare ya wachina wana kiwanda kibaha.
Hizo juice ndio zimejazana hapa za no, azam, jambo etc... Za nje common ni moja tu ceres ya SA. Hakuna bidhaa ya kunyaland kwenye shelfs za wabongo
Ebu tuonyeshe hizo products za bongo zile zinasumbua in Kenyan supermarkets tucheke. 🤣 🤣 🤣 Tayari tushaona products mingi sana manufactured in Kenya kwa supermarket za bongoslum.
Ebu nionyeshe just three products from bongoslum hapa kwa hii video nicheke. 🤣🤣🤣
View: https://www.youtube.com/watch?v=nb3ufXlmXrY
1200MW coming up soon. 700MW dam and a 500MW solar plant at the same site.
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1868128856730976281
Like which products?Many product in your supermarkets are manufactured in Kenya.