Pitia hii video utaziona mingi sana.Like which products?
View: https://www.youtube.com/watch?v=ufPJRUX5wvU
Pitia hii video utaziona mingi sana.Like which products?
Hivi DMDP ina shida gani hatuoni daraja hatuoni mto Msimbazi mwenye taarifa pls!Imagine DMDP mradi ume stall. WB wako tayari kutoa hela ya ujenzi. Mradi umekwama tangu mwezi wa nne.
Huyo tushamzoea, anapenda uongo sana.Muulize rais wako alimaanisha nn kusema Tanzania inaongoza kwenye trade EA.
Uongo upi wakati Haki ya Kundustan madafu inazidi kuwa mbaya? 👇👇Huyo tushamzoea, anapenda uongo sana.
Mheshimiwa Rais kaisha tangazia dunia Tanzania ina export zaidi Kenya kuliko inavyo import.Hivo haina maana kuwa hakuna chochote cha Kenya kwenye maduka ya bongo.It's manufactured in Kenya just like many other foreign brands.
Hata Sasa ni za umeme ila Changamoto za gridi ndio zinakabiliwa Kwa kutafuta hybrid Locomotives.
Na hii ikufikie 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DDnG6nVicne/?igsh=ZnRtcDRid2VjZTFp
sio kweli kaka unavo vipimo vya tunnel?Haipiti. Tunnel fupi.
yani sasa hvi kila mtu ni chawa hatimae hakuna uwajibikaji kabisaUchawa ni kazi kweli. Hao wajinga ndio wanafanya vitu vioze kwa ndio ndio za kijinga.
Imagine wamewekeza kwenye mapambio kuliko kazi.
Ju yeye ndio KNBS sio? Report itatoka tu na tutaona.Mheshimiwa Rais kaisha tangazia dunia Tanzania ina export zaidi Kenya kuliko inavyo import.Hivo haina maana kuwa hakuna chochote cha Kenya kwenye maduka ya bongo.
mm kwa upande wangu naona hakuna uwajibikaji tu kaka, tumejenga reli ya kisasa sana yenye mifumo ya standard ya euro2 na tumeleta treni za kisasa sana sidhani kwa africa kama kuna mtu anatusogelea lakini shida yetu na kasumba yetu ni ile ile, hatuwajibiki mpaka tuwajibishwe.Kama umeme unakatika treni inaweza kutembea hadi station ile yenye kichwa. EMU inasimama hapo hapo.
Uneme wa SGR ni line yake kutoka kwenye National Grid. Umeme wa SGR ili ukatike inabidi National Grid yote isiwe na umeme,kama ilivyotokea juzi juzi ambayo ni very rare.Au mtu akate catenary wire. Mara zote nyingine treni ilikuwa inakwama kwasabbau ya mifumo ya uendeshaji kwenye treni yenyewe au TRC.
ile ndio evidence yako ww mwenywe huoni aibu ???😂😂😂😂Nilitaja na nikaweka video evidence.
taarifa huyu atakua nayo 😂😂 ChoiceVariableHivi DMDP ina shida gani hatuoni daraja hatuoni mto Msimbazi mwenye taarifa pls!
anapenda uongo au nyinyi ndio wapumbavu mushazoea kuswagwa kama kondoo, mukidanganywa ndio hua munaaminiHuyo tushamzoea, anapenda uongo sana.
Hizi juice zote hapa ziko manufactured in Kenya, na zinapatikana kwa supermarket ya bongoslum. 🤣 🤣 🤣ile ndio evidence yako ww mwenywe huoni aibu ???😂😂😂😂
Carsons?Jamaa kiazi sana huyo.
Bidhaa zao ni za kumulika kweli kweli kwa sasa. Kuna viwanda vingi sana vya bidhaa hizo za FMGs hapa Bongo.
Mimi bidhaa pekee ya kunyaland nayo tumia ni sabuni ya kuoga... Na ndio naipiga chini maana copy zimezidi. Imebakiza kale ka logo kasikoisha ila harufu yake imepotea completely.
Show us any other hospital with 1800 beds capacity in EA?Ati kenyatta ni largest hospital in EA?
ila jana refa kafanya majabu kwa kweli asante refa kwa kutotoa kimasomaso sisi watanzania sijui tungeweka wapi sura yetu😂
View: https://x.com/sportsarenatztz/status/1868314736544428154?s=46
View attachment 3177937