Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

  • FB_IMG_1734316637869.jpg
    FB_IMG_1734316637869.jpg
    38.8 KB · Views: 24
Ngoja nikuambie ukweli, hizo products hazipo Tanzania na kama zipo hazinunuliki kabisa, mtaani hazipo.
Zinafanya nini kwenye shelves za supermarkets zenu kama hazinunuliki? Why would supermarkets stock items that don't sell? Unafikiri ni vilaza kama wewe?
 
Hakuna viji brand vyenu vyovyote ambavyo ni competitive to our brands, ondoeni hizo sera zanu za protectionism police muone vile nchi nzima ya kenya tutakavyoitawala,
If they aren't competitive hazingekuwa kwenye shelves za supermarkets zenu
 
If they aren't competitive hazingekuwa kwenye shelves za supermarkets zenu
Sisi hatuna roho mbaya ya kuzuia bidhaa zenu kama mnavyotufanyia, most of your products sahii zina strugle kwa market ya Tz. Hii mbona si hata ni swali.
 
Sisi hatuna roho mbaya ya kuzuia bidhaa zenu kama mnavyotufanyia, most of your products sahii zina strugle kwa market ya Tz. Hii mbona si hata ni swali.
Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi Gani inazuia bidhaa za mwingine? You must b living in a different world.

Kuhusu Kenyan products in your supermarkets, how would ou say they struggle in your markets yet zipo and fully stocked? Do you know something about supply and demand?
 
Back
Top Bottom