Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂😂
IMG_2135.jpeg
 
Kwenda zako huko,hii Teknolojia ya Hybrid ni ya Africa? Mbishie Kadogosa.

Mwisho huwezi jilinganisha na Ulaya by any means
tunarudi kwenye concept yetu ni kua kwanza treni ziwe za umeme na tuliahidiwa kua umeme wa treni utajitegemea na hata ukikatika kutakua na powerbank behewa moja ambalo litatembeza treni mpaka km 60 ili isilale porini 😂😂😂😂😂

sasa hvi unatueleza habari gani tena mzee hakuna cha hybrid wala nn ni kua hakuna uwajibikaji kwa sasa full stop
 
tunarudi kwenye concept yetu ni kua kwanza treni ziwe za umeme na tuliahidiwa kua umeme wa treni utajitegemea na hata ukikatika kutakua na powerbank behewa moja ambalo litatembeza treni mpaka km 60 ili isilale porini 😂😂😂😂😂

sasa hvi unatueleza habari gani tena mzee hakuna cha hybrid wala nn ni kua hakuna uwajibikaji kwa sasa full stop
Hata Sasa ni za umeme ila Changamoto za gridi ndio zinakabiliwa Kwa kutafuta hybrid Locomotives.

Na hii ikufikie 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDnG6nVicne/?igsh=ZnRtcDRid2VjZTFp
 
1. Cussons products
2. Amara lotion and body wash/hand wash
3. Brookside products
4. Daima milk
5. Dairyland products
6. Gofrut juice
7. Orchid Valley Juice
8 . Fruitville Juice
9. Frosti Juice
10. Velvex products
11. Zesta products
12. Bidco Products, Kimbo, Cowboy
13. KCC products
14. Softcare Products

Hizo ndio nimespot, I'm sure kuna mingi sana sijaspot. Yani supermarket ya bongoslum imejaa tu foreign products. 🤣 🤣 🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=ufPJRUX5wvU&t=1236s

Bidco kafilisika!
 
tunarudi kwenye concept yetu ni kua kwanza treni ziwe za umeme na tuliahidiwa kua umeme wa treni utajitegemea na hata ukikatika kutakua na powerbank behewa moja ambalo litatembeza treni mpaka km 60 ili isilale porini 😂😂😂😂😂

sasa hvi unatueleza habari gani tena mzee hakuna cha hybrid wala nn ni kua hakuna uwajibikaji kwa sasa full stop
Uchawa ni kazi kweli. Hao wajinga ndio wanafanya vitu vioze kwa ndio ndio za kijinga.

Imagine wamewekeza kwenye mapambio kuliko kazi.
 
tunarudi kwenye concept yetu ni kua kwanza treni ziwe za umeme na tuliahidiwa kua umeme wa treni utajitegemea na hata ukikatika kutakua na powerbank behewa moja ambalo litatembeza treni mpaka km 60 ili isilale porini 😂😂😂😂😂

sasa hvi unatueleza habari gani tena mzee hakuna cha hybrid wala nn ni kua hakuna uwajibikaji kwa sasa full stop
Kama umeme unakatika treni inaweza kutembea hadi station ile yenye kichwa. EMU inasimama hapo hapo.
Uneme wa SGR ni line yake kutoka kwenye National Grid. Umeme wa SGR ili ukatike inabidi National Grid yote isiwe na umeme,kama ilivyotokea juzi juzi ambayo ni very rare.Au mtu akate catenary wire. Mara zote nyingine treni ilikuwa inakwama kwasabbau ya mifumo ya uendeshaji kwenye treni yenyewe au TRC.
 
Back
Top Bottom