Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ebu tuonyeshe hizo duka zako za Kenya ambazo zinauza products za bongslum. Tayari tushaona duka zenu zinauza products kibao manufactured in Kenya.
Bado haujajibu swali, au wewe ndio type ya wale wanafunzi wanaojitungia maswali yao kwenye mtihani baada ya kukosa kitu cha kujaza kwenye answer sheets?
 
Are you sure? Tz vs Ke trade balance says otherwise.
Otherwise gani?
ScreenShot Tool -20241215223859.png
ScreenShot Tool -20241215223936.png
 
1. Cussons products
2. Amara lotion and body wash/hand wash
3. Brookside products
4. Daima milk
5. Dairyland products
6. Gofrut juice
7. Orchid Valley Juice
8 . Fruitville Juice
9. Frosti Juice
10. Velvex products
11. Zesta products
12. Bidco Products, Kimbo, Cowboy
13. KCC products
14. Softcare Products

Hizo ndio nimespot, I'm sure kuna mingi sana sijaspot. Yani supermarket ya bongoslum imejaa tu foreign products. 🤣 🤣 🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=ufPJRUX5wvU&t=1236s

Yaani zote ulizotaja... sijawahi tumia hata moja...
Labda hio supermarket aliyotembelea inamilikiwa na mkenya
 
Alafu walikua wanasema eti Magufuli anatoa pesa imagine unakusanya 1bn Dollars, mradi wa 300bn utakushinda?

Kumbuka miaka 5 ya mzee gari za serikali zilikua STL mwisho. Baada ya kufa tu ghafla ziko STN. Na series moja ni gari 9000.

Now kila mradi ukiwa over 100bn shillings wanawaza kukopa tu.

Yaani mkopo wa $200m huku unakusanya $1bn? Does it make sense na kumbuka huo ni mwezi mmoja tu.

Tanzania tunaweza anzisha mradi tuseme mradi uwe $10bn full financed na domestic revenue kwa period ya 5 years mbona inawezekana ndio maana JNHPP alijua inawezekana bila hata pesa yao kabisa.

Hata tukiamua 4 way lane carriageway mpaka Dodoma inawezekana kwa pesa za ndani plus unamuweka mkandarasi unayemtaka kabisa.

Huone KIMARA KIBAHA - ESTM CONSTRUCTION
SGR - YAPPI MERKEZ LOT YA KWANZA
JNHPP - ARAB CONTRACTOR & EL SEWEDY ELECTRIC.

Hivyo hivyo unaweza tega $1bn zikaishia kwa wakandarasi wa ndani kufikisha barabara Njia nne dodoma.

Ni maamuzi magumu tu.
They don't care.... Wanashangaza sana...au wenzetu wana nchi nyingine wanaita kwao zaidi ya Tanzania....ni kama mtoto wa kwanza wa kiume who doesnt care mali za mshua wake...kazi kutapanya ovyo kutumia na videmu. Ndo viongozi wengi tulionao.

Hiz ajali za mbeya...barabara inayobypass mji wa mbeya kwa ajili ya maroli ingeshajengwa kitambo nk...hii miaka mitatu njia sita zingefika chalinze kitambo
 
Hakuna kitu kinatengenezwa Kenya na Tanzania hakuna, product zote ulizolist hapo juu kuna brand zaidi ya tatu kwa kila moja zinatengeneza same product.
Sisi hatuna hiyana kama nyie, finished products za Tanzania na Uganda hamtaki kabisa kwenye supermarket zenu ili mtemgeneze artificial superiority. Ila data zinawaumbua.
Huku Tanzania mtu habanwi cha kitumia anachagua atakacho....bidhaa za Uganda zipo, south Africa, Zambia, yani sisi hatuna nona.
Sasa imagine nyie mgeruhisu finished products za Tanzania ziwe visible huko kwenu, si viwanda vyote vingekufa tu. Yani hata Azam juice hamtaki huko kwenu mnabana......

Badilikeni nyang'au nyie.
 
Hakuna kitu kinatengenezwa Kenya na Tanzania hakuna, product zote ulizolist hapo juu kuna brand zaidi ya tatu kwa kila moja zinatengeneza same product.
Sisi hatuna hiyana kama nyie, finished products za Tanzania na Uganda hamtaki kabisa kwenye supermarket zenu ili mtemgeneze artificial superiority. Ila data zinawaumbua.
Huku Tanzania mtu habanwi cha kitumia anachagua atakacho....bidhaa za Uganda zipo, south Africa, Zambia, yani sisi hatuna nona.
Sasa imagine nyie mgeruhisu finished products za Tanzania ziwe visible huko kwenu, si viwanda vyote vingekufa tu. Yani hata Azam juice hamtaki huko kwenu mnabana......

Badilikeni nyang'au nyie.
Hawawezi. Wanajua wakiruhusu viwanda vyao vimekufa.
 
Sasa ni county governments (in this case kakamega county government) ndio waamuzi wa kudecide ni viwanja vipi vitatumika or is it the role of the government through sports ministry?
Devolution maana yake ni nini sasa?
 
Back
Top Bottom