Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Sawa mwalimu wa nursery school.Kipchirchir Arap Ruto ni muongo wa kutupwa😁
Sawa mwalimu wa nursery school.Kipchirchir Arap Ruto ni muongo wa kutupwa😁
Kama CHAN mnashindwa kuandaa AFCON mtawezea wapi nyie?Jua tofauti ya CHAN na AFCON, Mbona watanzania mko wajinga hivi?
Mbona unani mention tu bila mpangilio, are you crazy or something.5 floors za kawaida. Baboonman aka Sama boy 255 hizi ndio gorofa ulikuwa unaongelea?😂😂😂🤣
Yaani Ruto anakudanganya sana😁Sawa mwalimu wa nursery school.
Ongoing Construction of 20,000 seater Kenyatta Stadium in Kitale, Tranzoia County.
View: https://x.com/GeorgeNatembeya/status/1864943670526410851
Siku hizi Kenya ndio gumzo huko kwao.Hao wanajua karibu kila politician in Kenya hadi those that vied and failed😂😂
Baboons aren’t suppose to dictate when to be mentioned. Hiyo luxury sahau kabisa.Mbona unani mention tu bila mpangilio, are you crazy or something.
Tatizo hamna kama hizo Tanzania nzima.Tatizo inakaa substandard!
Lazima wajue kinachoendelea majuu.Huoni vile macelbs wao wamefurahi kuja Kenya? Juzi tu Stivo Simple Boy alikuwa huko kwao na hata hakuna mwenye alijua. Sauti Sole alienda performance huko na hakuna hata Mkenya aliongelea😂
Ila we mpumbavu nikisomaga comments zako nacheka sana, 😂😂😂 kwasababu unaeleza upumbavu unaouota ukidhani ni kweli.. chizi kweli wewe.Siku hizi Kenya ndio gumzo huko kwao.
Tangu Ruto aipongeze Tanzania vijiwe vya kuijadili Tz vimeongezeka hadi Mombasa, ha ha ha😂Siku hizi Kenya ndio gumzo huko kwao.
Prezo wao alishasema Kenya ni kama London kwa watanzania 😂Lazima wajue kinachoendelea majuu.
Sasa mtu anajua airport ya Arusha ya old hajui iliyopo unategemea argument zake ziweje.Jamaa anaongelea number of passengers passing through Arusha Mabati rolling Mill wewe unaongelea picha, picha itaongeza idadi ya wasafiri?😂😂
labda mulipe na mawe 😂😂😂Treasury will pay.
Hata AfCON mtashindwa! Mtakuwa hamjamaliza maandalizi maana Nyie ni watu wa mdomo tu! Ni excuses tu lazy Kundurenda!Jua tofauti ya CHAN na AFCON, Mbona watanzania mko wajinga hivi?
Kama vipi na Afcon wapewe Rwanda naona Kenya wako busy na Ruto must go
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1865261544969212062?t=0WrApEVptRBgDnXJ5391Dg&s=19
Halafu unajua sisi tunaenda kuwadhihirishia dunia aside Dar kuna other modern cities that can hold a big event! Yaani kuna Arusha, Dodoma and Stonetwon!Mzee si kwamba hayupo updated ni kuwa propaganda imeingia haamini kuna kizuri only kibaya. So akigoogle kizuri anakana.
Akishindwa anaanza tafuta changamoto ya kizuri