Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Miji iliyokuwa planned ina floor restrictions! Huwezi jenga 20 floors residential area!Mwenzako anasema gorofa za 20 floors na wewe unatuwekea a 5 floor building. Kwani hata huoni aibu?😂😂
Miji iliyokuwa planned ina floor restrictions! Huwezi jenga 20 floors residential area!Mwenzako anasema gorofa za 20 floors na wewe unatuwekea a 5 floor building. Kwani hata huoni aibu?😂😂
Kama huwajui ni ukilaza wako, sisi unatulaumu nin..?Wewe shuka, umedandia mada. We must know the names of Tanzanian leaders wakati Mimi hapa hata makamu wenu wa Rais simjui jina wakati wewe hapo na vilaza wenzako mnajua mawaziri wetu wote hadi magavana na manaibu wao wote
Sio kweli. Sinza ni residential na iko planned lakini Kuna 20 floorsMiji iliyokuwa planed ina floor restrictions! Huwezi jenga 20 floors residential area!
Sinza haina floor restriction beach plots residential areas zinazo! Ficha upumbavu!Sio kweli. Sinza ni residential na iko planned lakini Kuna 20 floors
Mkenya ajisumbue kukariri majina ya mawazari wa Tanzania ndio nini ifanyike? Shows how much we careless about what's going on down there. Lakini since we are your bigger brothers and you look up on us on many issues, you have no option but to know even the spouses of our governorsKama huwajui ni ukilaza wako, sisi unatulaumu nin..?
Umewahi kutetea kwa nini, liache free liendelee, hata sisi hatuna shaka 😁Unadhani he will be detained illegally kama bongoslum au Uganda. 🤣 🤣 Huyo hata court hawezi fikishwa ju wanajua hakuna kesi hapo.
Watoe wapi? Westlands alone has more 20+-floor buildings under construction than the whole of TanganyikaUkipata gorofa ya 20 floor in Dar that is under construction please tell me nitoke JF saa hii😂😂
Punguza jazba na gadhabu ukiwa unajibu Jambo fulaniSinza haina floor restriction beach plots residential areas zinazo! Ficha upumbavu!
Wenzako wanavyotajaga mpaka viongoz wa vyama vya upinzani unakuwaga wap..Mkenya ajisumbue kukariri majina ya mawazari wa Tanzania ndio nini ifanyike? Shows how much we careless about what's going on down there. Lakini since we are your bigger brothers and you look up on us on many issues, you have no option but to know even the spouses of our governors
So you wanted the minister of finance to be a Luo in every government? Is that your thinking? How about Kurians, Pokomos, Kambas, Maasais, Taitas? Ama huko kwenu Tanganyika kila kabila limepewa nafasi kuwa na waziri wa fedha?
Wapi? Unamaanisha yule alipigwa risasi na sisiemu karibu afe akaja kutafuta usiadizi ya matibabu Kenya ama kuna mwingine?Wenzako wanavyotajaga mpaka viongoz wa vyama vya upinzani unakuwaga wap..
Ulikuwa unataka mnyamwezi ateuliwe?Kwa hiyo kwa mara ya kwanza ndio jaluo mmepata waziri wa fedha.... Kwenye Nchi ya kabila tatu za kuongoza... Yani gikuyu.. Kales na luo hahaha...
Lakini ukiingia mitandaoni mambo ni vice versa, kuanzia wananchi mpaka rais wenu mnaiongelea Tanzania 24/7.Mkenya ajisumbue kukariri majina ya mawazari wa Tanzania ndio nini ifanyike? Shows how much we careless about what's going on down there. Lakini since we are your bigger brothers and you look up on us on many issues, you have no option but to know even the spouses of our governors
Sawa ongea yote but the truth is Tanzania is ahead of Kenya in almost everything, na ndiyo maana tuko vzr kiuchumi kuliko nchi zote East Africa combined ukibisha muulize rais wako, wewe unafikiri nchi kuwa na maendeleo kama Tanzania ni mchezo? Au unadhani kumiliki treni ya umeme ni rahisi kwamba hata Kenya inaweza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wapi? Unamaanisha yule alipigwa risasi na sisiemu karibu afe akaja kutafuta usiadizi ya matibabu Kenya ama kuna mwingine?
And for the record, we only came to know about him after he came to Nairobi (majuu) for good medical attention
Labda majuu mlimani..Wapi? Unamaanisha yule alipigwa risasi na sisiemu karibu afe akaja kutafuta usiadizi ya matibabu Kenya ama kuna mwingine?
And for the record, we only came to know about him after he came to Nairobi (majuu) for good medical attention
Ila wao sasa wamerundika Nairobi. Nje wakijenga wanaweka viti vya baa seriously.Halafu unajua sisi tunaenda kuwadhihirishia dunia aside Dar kuna other modern cities that can hold a big event! Yaani kuna Arusha, Dodoma and Stonetwon!
Nairobi is Kenya n Kenya is Nairobi! Imagine tunajenga new capital from the scratch n some idiots r bragging of high rise buildings in Nairobi!Ila wao sasa wamerundika Nairobi. Nje wakijenga wanaweka viti vya baa seriously.
Na ajabu some high rise ni ya foreigners, huoni wapo KONZA wanasubiri watu wajenge.Nairobi is Kenya n Kenya is Nairobi! Imagine tunajenga new capital from the scratch n some idiots r bragging of high rise buildings in Nairobi!
Wacha ujinga AIR CONTROL TOWER haikai hivyo!
Tuletee data zako za ukweli basi. Kazi ni Kupiga mdomo tuHizo data za uongo umezitoa wapi? Pia unaonesha jengo la zamani wakati Kuna passenger terminal Mpya Ili kumdanganya nani ambae ni mjinga kama nyie Kundustan?