Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na Fumbi uptown living, Fumba town na projects zingine za nyumba in Zanzibar huu hapa ni mradi mwingine wa Nyumba Zanzibar around 3000 houses U/C in Zanzibar.
View: https://youtu.be/X3PUDs-bUYs?si=z8nhA5gMibrVpxeX. This is indeed the construction boom. Sioni hata mombasa ikiwa competitive to Zanzibar in the next decade. We are on the right track.
 
Yutong lazima waweke kiwanda hapa kwakweli maana sio kwa Yutong hizi zinazoagizwa kila siku.
Hapo nyuma tulikuwa hatuna sera nzuri ya kuvutia wawekezaji kwenye vehicles assembling naona sasa tumesharekebisha.
sera sio kununua bus kwa wingi sera ni kuvutia wawekezaji kwa kutoa kodi kama sio kupunguza kabisa, mfano tahmeed akinunua bus kutoka china kuleta kenya atalipa kodi zote ila akinunua bus kutoka master ya kenya hatolipa kodi kabisa yani ushuri wa bus, ushuru wa magari tanzania ni mkubwa kuliko hata thamani ya gari lenyewe
 
Back
Top Bottom