Hakuna knockout wala nini hapo it is natural for Uganda to link up with Kenyan SGR. Later on they will link up with Tz Sgr including Rwanda Burundi and DRC.Geza Ulole naona tumepigwa KO ya nguvu
😂😂😂😂😂
Hakuna knockout wala nini hapo it is natural for Uganda to link up with Kenyan SGR. Later on they will link up with Tz Sgr including Rwanda Burundi and DRC.Geza Ulole naona tumepigwa KO ya nguvu
😂😂😂😂😂
Wewe ulitaka biashara ufanye wewe tuu wenzako wafanye nini?pigo kubwa sana hili kwa tanzania tukisema hapa tunataka muda wote tusifiane
Kapata demu wa kinyangau anasimamiwa akiwa anafanya typing 🤣🤣🤣Mzee umekuaje these days?
Chance tunayo kuunganisha kwa kupitia Kagera!Geza Ulole naona tumepigwa KO ya nguvu
😂😂😂😂😂
Bado kwa kupitia mwanza tunaweza mfikishia Uganda mzigo kwa wakati na kwa gharama nafuuu sana kuliko hata hiyo ya kenyaChance tunayo kuunganisha kwa kupitia Kagera!
Hivi hapa unaweza pata angalao barabara 10 zenye km 500? Tusaidiane.It’s My duty in Jamii Forum to give pain to all witches.
Road network in Kenya.
View attachment 3159456
Jamaa anaakili za kibinafsi sana.Wewe ulitaka biashara ufanye wewe tuu wenzako wafanye nini?
Bomba la mafuta umewanyanganya, imports za Uganda including mafuta umewanyanganya ulitaka wao waende wapi?
Hiyo ni hasara ya taifa lkn kwa wanasiasa ndio nafasi yao kupiga hela.Walisha jadili mapema!Mjipange kulipa fidia ya kuvunja mkataba, kwa Adani
Kiakili za kawaida najiambia ya kwamba Uganda hawaezi tupea kila kitu, since kwa kufanya hivyo itakua Tz iko na total control of their economy, wakitepea kila kitu maana yake watakua tegemezi kwetu. Sidhani kama kuna taifa linaeza fanya watanzania wengi tulivyotarajia juu ya Uganda.Wewe ulitaka biashara ufanye wewe tuu wenzako wafanye nini?
Bomba la mafuta umewanyanganya, imports za Uganda including mafuta umewanyanganya ulitaka wao waende wapi?
Kwa akili fupi nikuwa njia ambayo ni fupi kwa kusafirisha mizigo ya Uganda ni Mombasa... Museveni aliwai kuomba apewe full control ya Tanga port kipindi cha mwinyi Tanzania ikawa imekataa kutoka na route aliyotaka kutumia ilikuwa ya mbunga ya wanyama... Lakini pamoja na yote bado Uganda SGR yao wataunga na Portbell ( lake Victoria) kutokana na route kuwa fupi kwani yupo muwekezaji wa meli za container apo Portbell... Nisawa na Rwanda au Burundi shortest route yao ni Tanzania... Kwenda kwao Mombasa ni circumstances nyingine kama ilivyo Mafuta kwa Uganda kupitia Dar Port...Kiakili za kawaida najiambia ya kwamba Uganda hawaezi tupea kila kitu, since kwa kufanya hivyo itakua Tz iko na total control of their economy, wakitepea kila kitu maana yake watakua tegemezi kwetu. Sidhani kama kuna taifa linaeza fanya watanzania wengi tulivyotarajia juu ya Uganda.
Simuelewi siku hizi.Jamaa anaakili za kibinafsi sana.
Duuuuhhhh,,, c kuna jamaa mmoja humu alituchekaga sisi tuna daladala na wao wana matatu? Sasa hivi vigar hapo vinafanya nini mjini!? Na hata havina hadhi ya kuitwa daladala kwetu? WakunyaPublic Transport in Africa's most developed city. Nairobi
View attachment 3160518
hili hatuna ferries za kutosha! Nadhani kama kutakuwa na reli kutoka Isaka kwenda Namtukula itakuwa bora na endelevu zaidi!Bado kwa kupitia mwanza tunaweza mfikishia Uganda mzigo kwa wakati na kwa gharama nafuuu sana kuliko hata hiyo ya kenya
hili ni pigo kaka hata tukisema tufiche, siku zote tulikua tunafukuzia huu mradi wa uganda tena tumetumia nguvu kuuchelewesha kwa fitna leo umetuponyoka kirahisi,Mzee umekuaje these days?
sasa tulikua tunaukimbilia wa nn na kufanya figisu ikiwa tulijua haitakua upande wetu?Hakuna knockout wala nini hapo it is natural for Uganda to link up with Kenyan SGR. Later on they will link up with Tz Sgr including Rwanda Burundi and DRC.
mzee kaa ukubali ukatae tanzania na kenya kuna vita baridi vya kiuchumi ndio maana unaona kuna ushindani sana kwenye uchumi, kama hatukua na nia ya kuonganisha reli kwenda uganda kwann tulikua tunamshawishi uganda kuunganisha na bukoba? hvi ww unafkiri reli ikikamilika hayo mafuta unayodai yatapita tanzania kwenda uganda?Wewe ulitaka biashara ufanye wewe tuu wenzako wafanye nini?
Bomba la mafuta umewanyanganya, imports za Uganda including mafuta umewanyanganya ulitaka wao waende wapi?
sahau hio kaka tumeshindwa vita tukubaliChance tunayo kuunganisha kwa kupitia Kagera!