Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado kwa kupitia mwanza tunaweza mfikishia Uganda mzigo kwa wakati na kwa gharama nafuuu sana kuliko hata hiyo ya kenya
still long journey hata kama kwa mwanza tukubali tukatae tumeshindwa vita 😂😂

situlikua tunahisifu hapa mseven ni mtanzania 😂😂😂😂😂
 
Kiakili za kawaida najiambia ya kwamba Uganda hawaezi tupea kila kitu, since kwa kufanya hivyo itakua Tz iko na total control of their economy, wakitepea kila kitu maana yake watakua tegemezi kwetu. Sidhani kama kuna taifa linaeza fanya watanzania wengi tulivyotarajia juu ya Uganda.
kwan kaka unaeza niambia kwann bomba la mafuta litapita tanzania ikiwa kwa kenya wangeokoa over 250km, na unaeza niambia kwann tuliingilia deal la mkenya ikiwa hakuna vita vya kiuchumi kati ya tanzania na kenya ? na kwann tuli force sana SGR ipite bukoba kwenda uganda na tukaponda sana kupita malaba au tumesahau yote hapa??

tukubali tukatae vita tumeshindwa
 
Kwa akili fupi nikuwa njia ambayo ni fupi kwa kusafirisha mizigo ya Uganda ni Mombasa... Museveni aliwai kuomba apewe full control ya Tanga port kipindi cha mwinyi Tanzania ikawa imekataa kutoka na route aliyotaka kutumia ilikuwa ya mbunga ya wanyama... Lakini pamoja na yote bado Uganda SGR yao wataunga na Portbell ( lake Victoria) kutokana na route kuwa fupi kwani yupo muwekezaji wa meli za container apo Portbell... Nisawa na Rwanda au Burundi shortest route yao ni Tanzania... Kwenda kwao Mombasa ni circumstances nyingine kama ilivyo Mafuta kwa Uganda kupitia Dar Port...
hata mafuta kupita dar port ni suala la muda tu tena halitachukua muda mrefu weka maneno yangu kama akiba
 
kuna shida kubwa sana 🙌🏻🙌🏻
IMG_1236.jpeg
 
still long journey hata kama kwa mwanza tukubali tukatae tumeshindwa vita 😂😂

situlikua tunahisifu hapa mseven ni mtanzania 😂😂😂😂😂
Hakuna mtu mwenye akili atajenga nyumba ya mlango mmojo, wakati Mombasa ni jirani zaidi wanapitisha mizigo yao mingine Dar wanajua athari za kutegemea njia moja isiyokuwa yao.
 
Kiaje? Ulitaka Ruto aende while alikuwa anadress the nation from Parliament? Wewe siju hizi uzee unapotea na akili zako.
Leave that, kama tumetuma an official instead of the president, it could mean ni sisi hatujachukulia event seriously, not Ugandans 🤣
 
sasa tulikua tunaukimbilia wa nn na kufanya figisu ikiwa tulijua haitakua upande wetu?

unataka kunambia bomba la mafuta haikua rahisi kupita kenya kuliko tanzania? wakat kuna diff ya zaidi ya km 200 kama sio 300 ingepita kenya.
Bomba lingepita wapi Kenya huko maporini terrain ni mbaya hakuna njia vifaa vingesafirishwaje?
The route was short obviously but technically challenging unlike sisi pipeline route inatembea along the major nodes of transport such as roads and rail vifaa Vinafika site kwa urahisi.
 
sasa tulikua tunaukimbilia wa nn na kufanya figisu ikiwa tulijua haitakua upande wetu?

unataka kunambia bomba la mafuta haikua rahisi kupita kenya kuliko tanzania? wakat kuna diff ya zaidi ya km 200 kama sio 300 ingepita kenya.
Tanzania has always wanted to serve Uganda through lake victoria ndio maana umeona priority yetu ni kupeleka reli DRC kwanza sio Uganda na bado we are on course. Kwani kama priority ingekuwa Uganda si ungekuta kuna mchakato wa reli from Isaka to Mtukula lakini kwa sasa hiyo plan haipo mradi wa sgr unaofuatia according to serikali ni mtwara mbamba Bay kwenye madini ya chuma na makaa ya mawe.
 
mzee kaa ukubali ukatae tanzania na kenya kuna vita baridi vya kiuchumi ndio maana unaona kuna ushindani sana kwenye uchumi, kama hatukua na nia ya kuonganisha reli kwenda uganda kwann tulikua tunamshawishi uganda kuunganisha na bukoba? hvi ww unafkiri reli ikikamilika hayo mafuta unayodai yatapita tanzania kwenda uganda?
Mafuta gani tena wakati Uganga atakuwa na mafuta yake by 2026.
 
Back
Top Bottom