Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wee fukara, nishawahi post hapa picha nikiwa China wewe unaniambia mambo ya Vumbistan? Hii Vumbistan moja ambayo naweza amua hata hii weekend nikuje na nirudi? Kweli ufukara unakufanya uone mambo ya kawaida kuwa miujiza Mr. Baboon. 🤣 🤣 🤣
Ulifkiri kwenda china ni kwenda kibera.?😂😂😂
 
Arafu wakenya mjue tunawavumilia Sana, watu tunaongelea new technology in East Africa, electrified SGR. Ww unaongelea outdated fossil la kwenye maonyesho china SGR , technology mpya zinakuwaga na changamoto muhimu ni kuzitatua . Jua hapa tunatumia umeme wetu wa ndani, tunapunguza umbali wa sehemu.
 
Ntatumia baiskeli which i know you don’t have.
My first time to own baskeli nilikua chekechea (baby class), inawezekana unataja baskeli kwasababu umeiona Nairobi na ukubwa 😂😂😂 no wonder ulipost zile viatu za matairi claiming watanzania hatuvijui na hakuna Bongo. 😂😂
 
Mikunya inashangaa na SGR inakua full booked week nzima na bado busses zinanunuliwa kama njugu na hayakosi abiria 😂😂😂
Yutong lazima waweke kiwanda hapa kwakweli maana sio kwa Yutong hizi zinazoagizwa kila siku.
Hapo nyuma tulikuwa hatuna sera nzuri ya kuvutia wawekezaji kwenye vehicles assembling naona sasa tumesharekebisha.
 
Shida ni kwamba timu zao huwa hazifiki group stage, eti mkenya anasema kabisa Gor Mahia inaweza kuifunga Yanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivyo vitimu vya kupewa motisha ndogo ndogo wakishinda mechi utakuta professional player eti unapewa mche wa sabuni au a dozen of milk ndio utegemee wa perform vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wamuulize Patric Aussem kwanini kakimbia huko kaja kwenye timu ndogo Tz ambayo haipo hata top 5
 
Back
Top Bottom