Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aibu Kwa ichoboy01 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DCUZtE5IzBV/?igsh=bDFhMWhwaWRmODd5

Haters wa SSH wamekuwa wanaokoteza taarifa za uzushi baada ya matarajio Yao kwamba ashindwe kuota mbawa πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DCUlskMNgyr/?igsh=aTBxemJmbGUyZ3B4

baada ya watu kua wakali au sio baada ya jamii kujua ukweli kua shule ilikua inauzwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

aibu yangu au aibu yenu nyinyi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

eti shule ya umma inauzwa alaf wazazi wanaambiwa wakatafute shule nyingine karibu, siwangeuza tu sasa wameona aibu gani??????
 
Nae alikuwa na mawazo kama Yako badala ya kuangalia atanufaikaje.

Ethiopia inajenga Barabara Sudan Kusini Kwa malipo ya Mafuta.

Uganda inajenga Barabara DRC na Central Africa Republic Kwa makubaliano ya Mkopo

Tanzania tunafanya Bure eti tunadumisha udugu, upumbavu
huo undugu ndio unakufanya uwe na ushawishi mkubwa africa leo unafurahi export kubwa kwenda uganda, rwanda na sadc bila huo undugu unafkiri hio nafas ungeipata wapi mjinga weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

unafkiri nafas ya kua SADC ungekua nayo leo kama sio undugu na kua bega kwa bega na nchi za africa, unafkiri hio tazara ingekuwepo leo??? unafkiri leo china angekua rafiki wa kweli kwa tanzania kama isingekua nyerere kuwasaidia chakula kipindi wana hali mbaya

kasome history alaf unaangalia faida ya leo na kesho wenzako waliangalia faida ya miaka 60 ijayo ndio maana leo unafurahia urafiki na mchina na nchi za africa ikiwemo sadc etc
 
Nchi ya matope kweli maana stadiums zote ziko Nairobi halafu wanajitapa devolution!
Ati Stadiums zote ziko Nairobi. So all counties in Kenya siku hizi ni Nairobi? Ama ni vile umeona how Kasarani is coming ukashikwa na baridi?πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway enjoy Nakuru County Stadium which is still under construction.
IMG_0672.jpeg
 
Kenya is controlling everything in Tanzania. Their skies are full of Kenyan airlines such as KQ, Jambojet, Precision Air and now Skyward Express.


View: https://x.com/KenyaAirports/status/1857105714679779357


Precision Air is not a Kenyan Airline

58% of the company is owned by Tanzanians, 41% Kenya Airways and 1% by other nationals. The anchor share holders, being Kenya Airways and local Tanzanian businessman. The airline based at Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam.
 
huo undugu ndio unakufanya uwe na ushawishi mkubwa africa leo unafurahi export kubwa kwenda uganda, rwanda na sadc bila huo undugu unafkiri hio nafas ungeipata wapi mjinga weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

unafkiri nafas ya kua SADC ungekua nayo leo kama sio undugu na kua bega kwa bega na nchi za africa, unafkiri hio tazara ingekuwepo leo??? unafkiri leo china angekua rafiki wa kweli kwa tanzania kama isingekua nyerere kuwasaidia chakula kipindi wana hali mbaya

kasome history alaf unaangalia faida ya leo na kesho wenzako waliangalia faida ya miaka 60 ijayo ndio maana leo unafurahia urafiki na mchina na nchi za africa ikiwemo sadc etc
Tutakula ushawishi? Nonsense
 
baada ya watu kua wakali au sio baada ya jamii kujua ukweli kua shule ilikua inauzwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

aibu yangu au aibu yenu nyinyi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

eti shule ya umma inauzwa alaf wazazi wanaambiwa wakatafute shule nyingine karibu, siwangeuza tu sasa wameona aibu gani??????
Acha uzushi unashikiwa akili ,wakali.wa wapi wakati Toka juzi nakuonesha ukarabati wa shule?

Una akili za kijinga
 
kwani huyo mchina tunaemlilia kila siku yuko wapi?? au hayuko BRICS??

ww sometimes unakuaga kama mwehu vile kwa taarifa yako BRicS ndio kimbilio la mataifa yote duniani kwa sasa, siasa za kidunia zishabadilika na watu wameshaona mbali sana

unasema BRIcS haina msaada na tanzania wakat kutwa tunaramba makalio ya mchina hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hao mabeberu mpaka sasa hvi wamekupa msaada gani ?? wakat madini yalikua yanaibiwa hapa mpaka changa unasombwa alaf umekaa hapa na ubongo umejaa funza ukisema wanamsaada na tanzania wakat wanakupa shs 10 wanachukua mabilioni πŸ˜‚πŸ˜‚


ukipinga ushoga wanakunyima mikopo alaf hawa ndio wenye msaada na tanzania ???? kunguni kweli wewe
Bila Msaada wa Mabeberu hata mtoto wako atakosa chanjo na utamfukia huku ukiomboleza kumlaumu shetani.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DCRXpMYqCEO/?igsh=MW5oNWk3a3VoenB3MQ==

Bricks ni kusabyiko la mafukara kina Uganda, Ethiopia nk Sasa watakusaidia nini? πŸ˜†πŸ˜†

Wale wachache wanaojiweza lazima watakunyonya.Upuuzi tuu
 
Tutakula ushawishi? Nonsense
unafurahia matunda sasa hvi alaf unajisifu unaakili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hio SADC ungeisikia kwenye bomba ng'ombe wewe, ww unafkiri urafiki wa tanzania na south africa ulikuja kwa bahati nasibu, huo undugu uliojengwa na hao unaowatukana ndio unaofurahia matunda yake na kujisifu leo hii

ww unafkiri kwann africa inamkataa mkenya unajua sababu?? kasome history watu wanaangalia miaka 50 ijayo ww unatazama chakula cha leo
 
Back
Top Bottom