Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
60% of our loans ni ya wakenya.You borrow from Peter to pay paul 🤣🤣🤣🤣
Mwenzako anasemea gari kama hiziAcha ujinga kenya hakuna magari mengi kuliko Tanzania ila kenya entire population iko concentrated hapo central western area imagine fitting 50m people in Northern Tanzania regions of Manyara and Arusha only unafikiri car density itakuwaje? On the other hand Tz population is scattered all over Tanzania.
View: https://x.com/femagaz/status/1856921487938081131
You learn something new everyday. Although depending on the source these top 10 lists tend to be very suspect.
why dont you just Google, uko na smartphone jamenikuna magari mangapi ambayo yako registered kenya ?
Kumbe ni lidude likubwa hiv.
Hizo nchi kwanza ukianza na China mji wake mmoja ni sawa na population nzima ya Kenya.China south africa na america kuna foleni kila siku na kuna flyover nyingi kuliko africa yote
ichoboy01 Matumizi ya Trilioni 50
Minara 758 Nchi nzima ni zaidi ya Bilioni 150 kazi inaendelea 👇👇
View: https://youtu.be/JKUM3ibXX3U?si=IFiPGS5UtGQnWLmf
yes tuendelee kuwacheka tu ila na sisi hatuko mbali kujicheka 😂😂😂😂fedha zimeenda kulipia Raila candidacy AU!
ziko wapi hzo construction naomba tuzuone na ulete majina ya hayo majengo tunayasubiri 😂😂😂😂😂😂Kisumu has a lot of construction going on. Kwanza there are construction of 17 buildings of 17 floors each, something that is not happening anywhere in Tanzania.
kwani huyo mchina tunaemlilia kila siku yuko wapi?? au hayuko BRICS??Mpumbavu ni wewe ,Tanzania haifungamani na upande wowote.
By the way hao unaoita marafiki wa kweli ni maskini Fulani wasio na Msaada ,ujinga wa hivi ndio ulisabanisha kina Nyerere kutumia Rasilimali Fedha,watu na mda kuhangaikia uhuru wa Vinchi vya kipumbavu ambavyo havina Msaada wowote Kwa Tanzania.
Maslahi yazingatiwe.