Mizigo na habiria. Tanzania ni nyingi Sana na Kila siku wanaingiza magari. Nenda kwenye mining sector, cement industries.Nyie Kenya mna magari Mengi wapi? Hata Ukuchukuwa Tu mfano wa logistic companies za kusafirisha Mizigo na habiria Tanzania
Mizigo na habiria. Tanzania ni nyingi Sana na Kila siku wanaingiza magari. Nenda kwenye mining sector, cement industries.Nyie Kenya mna magari Mengi wapi? Hata Ukuchukuwa Tu mfano wa logistic companies za kusafirisha Mizigo na habiria Tanzania
so mpaka leo hamuna CAF approved stadium na mwaka ndio unaisha hvo 😂😂 Teargas nani aliwaroga lakini
View: https://x.com/harambee__stars/status/1856575032945713624?s=46
Hayo Matunda mbona hatukuyaona awamu yenu wazalendo fake?
Hizi hapa ni juhudi za Mama 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DCVZGTsBLie/?igsh=MW1oaGdnMjA3NDNoZg==
Kuitwa G20 kwako ni mafanikio?SASA kind itwa G20 ndio mafanikio? Kuwa na hakili ndogo ni MZigo.
Ndio ni mafanikio yake binafsi kama Rais na diplomasia ya Tanzania,Kuna Nchi ngapi Afrika?SASA kind itwa G20 ndio mafanikio? Kuwa na hakili ndogo ni MZigo.
Hapana kwani mbona Kuna mazao mengi mpya yanalimwa na watu hawajaacha kulima mahindi?Halafu tuache kulima chakula! Hujifunzi kilimo cha miraa Ukunyani na balaa la njaa?
Weka zako wewe hater?wivu mm wann utanisaidia nn hapa tunaongea facts unafkiri bila kuweka mazingira wezesh kwenye sekta ya afya aliofanya mageuzi makubwa sana magufuli haya unayoyaona leo yangekuwepo, hospital za umma zilikua hazina hata panadol alaf leo tumesahau mageuzi makubwa alioyafanya, hakuna sekta inayofanya vzr nchii ambayo haina athari ya magu hakuna na haitakuwepo
mm mwenyewe nilikua situmii hospital za serekali kwasababu ya urasimu lakini kipindi chake nilijaribu kwenda amana hospital watu walinyooka kama ruler na dawa zote zilikuwepo na huduma zote unapata kwa wakati na nafuu na hakuna x ray mbovu wala MRI 😂😂😂😂😂
alaf katarama watu wanavunja vioo 😂😂
yani bus la billion mtu anajiamulia anaenda barabarani anarusha mawe kwenye vioo.... inasikitisha na inafikirisha sana
View: https://x.com/tboundbuses/status/1857011754540163442?s=46
Watanzania are the second country after Nigeria in exporting most thugs around the world. Hawa vioe wameshikwa hivi watakula maharagwe in prison until they die, we don’t Joke with primitive thugs😂😂👇👇
View: https://x.com/JamiiForums/status/1856344000522785244
Noma Sasa Kwa sasa tuwatafute South Sudan
Ndio ni mafanikio ya Rais na Nchi 👇👇SASA kind itwa G20 ndio mafanikio? Kuwa na hakili ndogo ni MZigo.
Reasons why Tanzania is still LDC, see their highways 😂😂
View: https://x.com/tanroas/status/1856618946574635169
Nyie flyover zenu zingi huwa ni kandarasi za wakola kuwapiga pesaMkijenga any flyover, interchange na overpass outside Dar njoo tuongee.
Waoishe Kwa Ajili ya uwekezaji wa Afcon,wanabisha si wakajenge za kwao? 😆😆👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DCYUSLHt-VE/?igsh=aHByNGk0NTlndHVn