ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,427
- 88,517
Kwa nini? Huu Uzi uko Kwa Ajili gani?Mods inabidi wakuanzishie uzi wako wa tarura na tanroad,maana unaondoa maana ya huu uzi,battle ni ya dar vs nbo wewe unapost hadi vitu vya kigoma huko halafu daily uelewi,unakera sana watu humu
Acha ujinga kenya hakuna magari mengi kuliko Tanzania ila kenya entire population iko concentrated hapo central western area imagine fitting 50m people in Northern Tanzania regions of Manyara and Arusha only unafikiri car density itakuwaje? On the other hand Tz population is scattered all over Tanzania.Kenya kuna magari kuliko tanzania na tz ndo wengi ki population kuliko Kenya kuonyesha kenya ni matajiri zaidi
Huo haukua upumbavu wa hizo nchi, ulikua nibupumbavu wa Nyerere mwenyewe! Usitake kulaumu watu waiohusika kwenye upumbavu wetu wenyewe.Mpumbavu ni wewe ,Tanzania haifungamani na upande wowote.
By the way hao unaoita marafiki wa kweli ni maskini Fulani wasio na Msaada ,ujinga wa hivi ndio ulisabanisha kina Nyerere kutumia Rasilimali Fedha,watu na mda kuhangaikia uhuru wa Vinchi vya kipumbavu ambavyo havina Msaada wowote Kwa Tanzania.
Maslahi yazingatiwe.
Our government ni sikivu and delivers on all fronts we can't complain much.Because they know better. Sio kama hao wenu who settle for less and can't complain for better and more improved terms
Nae alikuwa na mawazo kama Yako badala ya kuangalia atanufaikaje.Huo haukua upumbavu wa hizo nchi, ulikua nibupumbavu wa Nyerere mwenyewe! Usitake kulaumu watu waiohusika kwenye upumbavu wetu wenyewe.
Hakuna Hela ya kusafirisha wanamichezo waoUchumi mkubwa tena inakuwaje hapo
Hela iliyokuwa ijenge stendi ya Arusha ilihamishiwa Mbeya Kwa Spika 😆😆😆Ila jiji la Arusha kuna siasa nyingi sana! Stendi ya mabasi mwaka wa tano huu kelele tu!
Hela iliyokuwa ijenge stendi ya Arusha ilihamishiwa Mbeya Kwa Spika 😆😆😆
Mkoani kama hakuna mtu mkubwa au Waziri inawakata ,Arusha wasuburie 2025 👇👇
View: https://x.com/TimesTanzania/status/1852279039689437538?t=qvxrUIbo87pXo0XQTErhmQ&s=19