Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kuna watu wanaharibu sn hii thread, kutwa kucha wanapiga kampeni humu wakati thread za kampeni zipo, cjajua ni kwnn hawapigwi ban. Wanatuharibua hii thread na kuna wadau washaingia mkenge, mm cku hizi hata kuingia jf naona uvivu mana unakuta mtu anaweka miradi isiyohusika kabisa na thread, ni sawa kuweka mara moja moja lkn kwa sasa imekuwa too much, inakera sn, hata cc tutatoka humu tuwaachie wao jf mana mm jf thread yangu ni hii hii, sasa wakiiharibu kama hivi nakuwa sina jinsi ya kubaki humu.
Ni huyu maku ChoiceVariable ndio ana post mambo ya Mbeya, Katavi na kila aina ya ujinga hap!
 
Ni huyu maku ChoiceVariable ndio ana post mambo ya Mbeya, Katavi na kila aina ya ujinga hap!
Na wewe na wajinga wenzako mnapo post mambo ya Kisii,sijui Langa'ata nk ulitakaje labda?

Au hayo ya Mbeya sijui Katavi sio ya Tanzania? By the way huu Uzi umehama kutoka kuwa wa Dar vs Nairobi kuwa wa Kenya vs Tanzania.

Najua kinachowakera nyie Sugu gang ni hiki hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCUbIVBOgDc/?igsh=MXJicTlmeTd4eGgwNg==

😂😂😂😂😄😄😄😆😆😆😁😁😁🤣🤣
 
Mkuu kuna watu wanaharibu sn hii thread, kutwa kucha wanapiga kampeni humu wakati thread za kampeni zipo, cjajua ni kwnn hawapigwi ban. Wanatuharibua hii thread na kuna wadau washaingia mkenge, mm cku hizi hata kuingia jf naona uvivu mana unakuta mtu anaweka miradi isiyohusika kabisa na thread, ni sawa kuweka mara moja moja lkn kwa sasa imekuwa too much, inakera sn, hata cc tutatoka humu tuwaachie wao jf mana mm jf thread yangu ni hii hii, sasa wakiiharibu kama hivi nakuwa sina jinsi ya kubaki humu.
Najua kinachowakera Sugu gang Hadi mnaweweseka sio kingine Bali ni hiki hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCUbIVBOgDc/?igsh=MXJicTlmeTd4eGgwNg==

Bado hamjasema Hadi mseme 😁😁😁😆😆😆😆😆😆😆😆😆😄😄😄😄😄
 
Naomba nikuulize swali moja tu na unijibu honestly.
Licha ya ma flyover yaliyojaa Kenya je kati ya Kenya na Tanzania yenye flyover chache wapi Kuna foleni kupitiliza!??
Jibu honestly tafadhali.
Kenya kuna foleni kweli

Nawewe nijibu kati ya Kenya na Tanzania ni wapi kuna magari mengi?
Jibu honestly tafadhali
 
That’s an excuse for not having flyovers and interchanges outside Dar is slum. Anyway akikuonyesha nitag😂
Mwingine anaargue eti Kenya kuna kuna traffic jam kuliko danganyika na tumejenga flyover kila mahali as if china or US kwa traffic jam is a joke to him
 
Kenya kuna foleni kweli

Nawewe nijibu kati ya Kenya na Tanzania ni wapi kuna magari mengi?
Jubu honestly tafadhali
Kenya ndio kuna magari mengi kuliko Tanzania ila sio kwa uwiano mkubwa.
Uwiano ni mdogo sana baina yenu na yetu kuhusu wingi wa magari.
 
Nishakuzoea ukikosa hoja.
Ila Wacha nikujibie,licha ya mabarabara ya juu mliyojenga kuliko sisi Bado KENYA NDIO NCHI YENYE FOLENI NYINGI UKANDA HUU WA AFRIKA MASHARIKI.
Hiyo inafaa kukueleza jambo Fulani: kwamba Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania
 
So mnafurahia ati mmepita Kenya in importing Ugandan products? Kweli kukosa akili ni shida😂😂🤣
Hiyo kiingereza rahisi ndio imempiga chenga. They usually don't understand anything written in English
 
Back
Top Bottom