Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,082
- 17,801
Utaambiwa ni picha za 90s🤣
Utaambiwa ni picha za 90s🤣
Hivi, huna habari kwamba teachers and doctors in Kenya are well paid than their counterparts in Tanzania? Unaushi Dunia gani?Kalipeni mishahara ya walimu na madaktari na countries mpeleke hela si za mafungu.
Which project is that in Kisumu?Kisumu has a lot of construction going on. Kwanza there are construction of 17 buildings of 17 floors each, something that is not happening anywhere in Tanzania.
You borrow from Peter to pay paul 🤣🤣🤣🤣Because we pay our loans, ama you expected us to beg for loan forgiveness vile mlibembelezana mkasemehewa?
Ni jua kali works tuu.Hili andaki ni la nini hasa?
Why are they constantly on the streets then?Hivi, huna habari kwamba teachers and doctors in Kenya are well paid than their counterparts in Tanzania? Unaushi Dunia gani?
Kenya kuna magari kuliko tanzania na tz ndo wengi ki population kuliko Kenya kuonyesha kenya ni matajiri zaidiKenya ndio kuna magari mengi kuliko Tanzania ila sio kwa uwiano mkubwa.
Uwiano ni mdogo sana baina yenu na yetu kuhusu wingi wa magari.
Because they know better. Sio kama hao wenu who settle for less and can't complain for better and more improved termsWhy are they constantly on the streets then?
Uwiano wa wingi baina yenu na yetu sio mkubwa.Hiyo inafaa kukueleza jambo Fulani: kwamba Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania
Aisee mie sipo upande wa utajiri na umasikini,mimi nipo upande wa miundombinu.Kenya kuna magari kuliko tanzania na tz ndo wengi ki population kuliko Kenya kuonyesha kenya ni matajiri zaidi