Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wivu mm wann utanisaidia nn hapa tunaongea facts unafkiri bila kuweka mazingira wezesh kwenye sekta ya afya aliofanya mageuzi makubwa sana magufuli haya unayoyaona leo yangekuwepo, hospital za umma zilikua hazina hata panadol alaf leo tumesahau mageuzi makubwa alioyafanya, hakuna sekta inayofanya vzr nchii ambayo haina athari ya magu hakuna na haitakuwepo

mm mwenyewe nilikua situmii hospital za serekali kwasababu ya urasimu lakini kipindi chake nilijaribu kwenda amana hospital watu walinyooka kama ruler na dawa zote zilikuwepo na huduma zote unapata kwa wakati na nafuu na hakuna x ray mbovu wala MRI 😂😂😂😂😂
 
Acha uzushi unashikiwa akili ,wakali.wa wapi wakati Toka juzi nakuonesha ukarabati wa shule?

Una akili za kijinga
mm siongelei uzushi na nimekuletea mpaka ushahidi kua shule inauzwa ukasema ni sawa wacha iuzwe nikakuuliza shule ya umma inauzwa😂😂😂😂😂

baada ya watu kua wakali na jambo kujulikana naona wamebadilisha mawazo
 
Bila Msaada wa Mabeberu hata mtoto wako atakosa chanjo na utamfukia huku ukiomboleza kumlaumu shetani.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DCRXpMYqCEO/?igsh=MW5oNWk3a3VoenB3MQ==

Bricks ni kusabyiko la mafukara kina Uganda, Ethiopia nk Sasa watakusaidia nini? 😆😆

Wale wachache wanaojiweza lazima watakunyonya.Upuuzi tuu

hvi vitu vipo kama geresha miaka na miaka ndio yale unaletewa senti 10 alaf watu wanazoa madini na mchanga juu 😂😂

unaletewa sheria za ushoga na usagaji uzikubali ukikataa unaambiwa hakuna mikopo wala misaada, haya nambie kwa akili yako fupi huo ni utumwa au laa

lini ushawah sikia mchina kakujengea TAZARA bure au benjamin stadium alaf anakwambia wanaume wote wawe mashoga ??😂😂

brics inahusiana vp na uganda na ethiopia ??? alaf aliekudanganya uganda ina mafukara pekee, hebu nitajie nchi isiokua na mafukara afrika hii, mafukara wamejaa marekani wanalala nje itakua uganda na ethiopia au unataka kusema tanzania hakuna mafukara?
 
alaf ndio tulikua tunasifiwa kua ni miongoni mwa mifumo mitatu bora ya ulinzi duniani😂😂😂😂😂 yani beberu sifaa nyingiii alaf kazi kuponda nchi ambazo haziungi mkono upande wake

mpaka leo sijaamini kama north korea ni nchi iliojengeke kias kile pamoja na vikwazo vyote vya kiulimwengu lakini jamaa wanauchumi bora na wanatengeneza kila kitu kwenye nchi yao na hutoskia shida yoyote ya kiuchumi kwenye nchi yao


View: https://x.com/bbcswahili/status/1856986412119163370?s=46
 
muuza supu akipata mateso 😂😂😂
IMG_1024.jpeg
IMG_1023.jpeg
 
Hizo nchi kwanza ukianza na China mji wake mmoja ni sawa na population nzima ya Kenya.
Shanghai peke yake ina wakaazi milioni 58+.
Kenya mko wangapi in population!??
Mkuu unaleta mifano mfu kabisa.
Population ya China peke yake inakimbizana na population ya Africa.
Na mbona nchi za europe kuna traffic, in short nchi zmeendelea hua na traffic jams
 
hvi vitu vipo kama geresha miaka na miaka ndio yale unaletewa senti 10 alaf watu wanazoa madini na mchanga juu 😂😂

unaletewa sheria za ushoga na usagaji uzikubali ukikataa unaambiwa hakuna mikopo wala misaada, haya nambie kwa akili yako fupi huo ni utumwa au laa

lini ushawah sikia mchina kakujengea TAZARA bure au benjamin stadium alaf anakwambia wanaume wote wawe mashoga ??😂😂

brics inahusiana vp na uganda na ethiopia ??? alaf aliekudanganya uganda ina mafukara pekee, hebu nitajie nchi isiokua na mafukara afrika hii, mafukara wamejaa marekani wanalala nje itakua uganda na ethiopia au unataka kusema tanzania hakuna mafukara?
Kwa nini baba Yako Mwendazake hakukataa kama ana jeuri si ni geresha?
 
mm siongelei uzushi na nimekuletea mpaka ushahidi kua shule inauzwa ukasema ni sawa wacha iuzwe nikakuuliza shule ya umma inauzwa😂😂😂😂😂

baada ya watu kua wakali na jambo kujulikana naona wamebadilisha mawazo
Kwani Mimi sikukuletea ushahidi wa Ujenzi upya wa shule? Shule ya Watoto wa kawaida inageuzwa English medium ya serikali na hapo kulipia kunaanza hicho ndichi kimefanyika ila nyie wazushi msivyojielewa mnakuja kusema eti imekuwa, nonsense
 
tunajua TARURA inatozo za miamala haya tuambiwe tozo za miamala zinaenda wapi ikiwa na pesa za TARURa zinakopwa 😂😂

tunajisifu na tozo tunajisifu tunakusanya kodi 2 trillion each month haya tuambiwe mikopo wa over 20b usd ndani ya miaka mitatu imetumika kwenye nn 😂😂😂😂

simple logic
Pole Kwa ujinga wako, Tarura Haina fund ya tozo ya miamala Bali tozo ya Mafuta,fake mind.

Je hiyo ndio source pekee ya Tarura? Unajua hizi lami za Vijijini zinajengwa Kwa tozo Yako? RISE ni tozo ya miamala? Wacha kuropoka.

Trilioni 50 at work in Iringa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCJCm4pN84N/?igsh=bmJ1a2k4bDVlNTdn
 
unafurahia matunda sasa hvi alaf unajisifu unaakili 😂😂😂😂

hio SADC ungeisikia kwenye bomba ng'ombe wewe, ww unafkiri urafiki wa tanzania na south africa ulikuja kwa bahati nasibu, huo undugu uliojengwa na hao unaowatukana ndio unaofurahia matunda yake na kujisifu leo hii

ww unafkiri kwann africa inamkataa mkenya unajua sababu?? kasome history watu wanaangalia miaka 50 ijayo ww unatazama chakula cha leo
Hayo Matunda mbona hatukuyaona awamu yenu wazalendo fake?

Hizi hapa ni juhudi za Mama 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCVZGTsBLie/?igsh=MW1oaGdnMjA3NDNoZg==
 
Back
Top Bottom