Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Naona ushuzi wa mambati structure!
See real structure
View: https://youtu.be/sD9P8ErYQTA?feature=shared
View: https://youtu.be/pJNTA7GxNJs?si=pK4WkTj0hm2GA2vC
Sawa methuselah.
Naona ushuzi wa mambati structure!
See real structure
View: https://youtu.be/sD9P8ErYQTA?feature=shared
View: https://youtu.be/pJNTA7GxNJs?si=pK4WkTj0hm2GA2vC
Wewe ndio ulinikimbia baada ya kichapo heavy, huwezi jadili na bila kutumia hizi kwasababu lazima nikushinde na ukishindwa unakimbilia hizi. 😂😂😂 nakunyooshaga haswaaa.Naona baboon Umerudi after ulinuna jana. Watoto wenu wote wanafanana na baboon ama ni wewe pekee?
View attachment 3151392
Sawa baboon.Wewe ndio ulinikimbia baada ya kichapo heavy, huwezi jadili na bila kutumia hizi kwasababu lazima nikushinde na ukishindwa unakimbilia hizi. 😂😂😂 nakunyooshaga haswaaa.
Wewe kichaa TRA collects 2+ trillion Tz shillings a month. Almost same amount of what KRA collected. 👇🏾
Tatizo sio kukusanya tatizo ni matumizi, hiyo pesa yote inaenda kulipa mishahara
Kisumu ina hata mradi wa barabara meter 10?Dodoma Iko hata na nyumba ya 15 floors? Ama ni tu zile 1-5 floors zenu za kawaida ndio mnapigia kelele? Dodoma can't even match Kisumu in terms of construction activity.
Oya wakuu mjue Dodoma sio poaa 😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Kwao hata madaktari hawana uhakika wa mshahara achia mbali mazingira mazuri ya kaziNyang'au ni ujeuri tu!
Interchange wakati kwao lazima uende Dar ndio uone interchange, Kenya karibia county zote Kuna interchange. 😂😂Hawa watu ni watu wa kuacha wajifurahishe, imagine leo mtanzania anataka kushindana na Kenya kwa mambo ya interchanges😂😂
Ile thread ya MAN U vipi mzee?Mkuu kuna watu wanaharibu sn hii thread, kutwa kucha wanapiga kampeni humu wakati thread za kampeni zipo, cjajua ni kwnn hawapigwi ban. Wanatuharibua hii thread na kuna wadau washaingia mkenge, mm cku hizi hata kuingia jf naona uvivu mana unakuta mtu anaweka miradi isiyohusika kabisa na thread, ni sawa kuweka mara moja moja lkn kwa sasa imekuwa too much, inakera sn, hata cc tutatoka humu tuwaachie wao jf mana mm jf thread yangu ni hii hii, sasa wakiiharibu kama hivi nakuwa sina jinsi ya kubaki humu.
Nionyeshe interchange moja Kenya imejengwa 'sababu ya kisiasa'Sisi hatujengi miundombinu kama miradi ya wanasiasa kupiga hela tunajenga panapo uhitaji.
Tanzania inajenga Kwa uhitaji.Nionyeshe interchange au flyover nje ya Dar-is-a-slum 🤣🤣
Kwahiyo Kenya mna serikali ya hovyo miaka yote? Mbona mkileta ujinga huku kwetu tunawafukuza na tunawabebesha kibao kabisa cha "Mimi ni mwizi kutoka Kenya" nyinyi mnashindwa nini? Mnabaki kuongopa ongopa eti ombaomba from Tanzania kumbe ni ndugu zenu. Ombaomba gn anamiliki passport ya kusafiria, ombaomba gn anaweza kutoka Tanzania nchi ya asali na maziwa aje Kenya nchi ya njaa na mabalaa?Hawa watu karibuni watanyangánya Nigeria trophy yao ya wizi, ukora na ujambazi. Teargas alisema humu hamtakikani Afrika Kusini mkaona ni mzaha. Mna bahati hapa Kenya tuna serikali ya ovyo ila ile siku tutakua na serikali serious mtahamishwa wote.
![]()
Watanzania wakamatwa Kenya wakiuza Pembe za Ndovu
Maafisa wa Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) huko Mombasa wamewakamata raia wawili wa Tanzania kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya pembe za ndovu zenye thamani ya Ksh milioni 3.3. (Takriban Tsh. Milioni 56) Katika operesheni ya pamoja na maafisa wa Kituo cha Polisi cha Mtwapa...www.jamiiforums.com