Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeona mahali nampinga Rais Samia kwa kuendeleza miradi? Tunachohoji ni kujisahaulisha yale aliyoyafanya Magu. Yaani woote kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa hadi Kikwete wanapata credit kwa miradi yao isipokuwa Magu. Huoni kuna tatizo hapo?
Duuh hapa kinachopingwa ni kuwa magu kafanya mengi kuliko Marais wote, watu wanashindwa tofautisha vipato vya nchi kipindi kwa vipindi vyote vya urais na kwamba kipindi Cha magu hakukuwa na wizi.
Kwamba kikwete alitakiwa akakope 10bil USD ili ajenge reli wakati alipokea nchi ikiwa kwenye GDP ya 18 bil na akaondoka na 49bil USD.
Wengi hatutaki angalia uhalisia hata ukiingia TANROADS Official Website :: Projects
Kikwete awamu ya 1 alikuwa na miradi mingi sana tena ya kufungua nchi kuliko hata huyu magu , ukija barabara tu jk awamu ya kwanza anazaid ya km 3000 huku jpm akiwa Hana hata 2000km mpaka anaingia kaburini.
Kila rais ana jambo lake alilolifanya hata Samia Kuna mengi anayafanya ila kwa sababu watanzania Huwa tunapenda kuwa na yule kiongozi anayeropoka ndo maana tunaona magu alifanya mengi sana
 
Hii sabotage unaweza kukuta hata kunyan wanahusika kwa kushirikiana na wa TZ wanaoangalia future ya matumbo yao tu
nop nop tusiwatupie lawama wakenya tujiulize swali mm na ww ni kiongozi gani mkali anaeweza kusimamia miradi mikubwa kama hio jibu ni hakuna simple and clear tusitafute wachawi nje ya mipaka wakat miradi sasa hvi inajiendea ovyo ovyo hakuna mfatiliaji
 
Hii miradi ingekuwa JPM bado yupo isingetekelezwa hapa bali Chato!
hahhaahaha 😂😂😂😂😂 na miradi alioanzisha yote ilikua chato ???

leo tunafurahia madini yanachangia more than 10% kwenye pato la taifa ila tunasahau ubabe wake wakubadilisha sheria ndio umefanya mambo yamekua mazuri mpaka kesho kwenye sekta ya madini

kabla yake tanzanite ilikua inajulikana inatoka kenya na india je baada ya kufanya mageuzi leo tanzaniate inajulikana unatoka wapi?? kuna mambo we have to appreciate hata kama inauma
 
Viwanda hivyo hivyo ndivyo vimelegwa na sera nzuri za Samia.

Unadhani Kwa nini kabla ya hapo mauzo hayakuongezeka?
Viwanda vya nyama vimejengwa kipindi cha Magu ww kumbe haujui kitu, kiwanda cha Morogoro , kiwanda cha kibaa na kiwanda cha Arusha vyenye standard za kimataifa vimejengwa lini?
 
Mkuu Mimi nimecheka Sana, nadhani tubaki kimya, kuna watu wanafikiri unapoongeza bajeti ndio maendeleo bila kuzisimamia watu wanakula. Deni la 54 trillion , ukizifanyia audit hautaziona value yake kwenye miradi hiyo.
Kwa nchi za kiafrika huwezi kupata. Mkuu jinai Huwa haifi kwahiyo yaan Mimi ningependezwa audit ingefanyika kwa miradi yote kwa miaka 10 nyuma
 
Hatukatai kuwa Magu aliuchangankia huu mradi uwepo Tz ila tunachokataa ni kauli kama bila Magu huu mradi usingekuwepo.
Maamuzi ya mradi upite wapi ni kazi ya investor serikali kazi yake ni ku facilitate tuu.
kaka tutasema bila magu kwasababu he was there to fight with kenya hatujawah kushinda mradi wowote dhidi ya kenya before magu tusiongee vitu kwa mihemko tu, tanzania imeamka dhidi ya kenya kipindi cha magu kwani leo tunasahau wakenya walikua wanaingiza ng'ombe zao kwenye hifadhi za taifa kwa ajili ya malisho wakawa wanaharibu mazingira baada ya kukamata ng 'ombe zao uliona heshima haikurudi??? au uliona walileta tena ??? go east go west jamaa was a real fighter hata sisi humu tumeanza kutunisha misuli kipindi cha magu
 
hahhaahaha 😂😂😂😂😂 na miradi alioanzisha yote ilikua chato ???

leo tunafurahia madini yanachangia more than 10% kwenye pato la taifa ila tunasahau ubabe wake wakubadilisha sheria ndio umefanya mambo yamekua mazuri mpaka kesho kwenye sekta ya madini

kabla yake tanzanite ilikua inajulikana inatoka kenya na india je baada ya kufanya mageuzi leo tanzaniate inajulikana unatoka wapi?? kuna mambo we have to appreciate hata kama inauma
Tatizo lenu mnalazimishia watu his accomplishments ambazo nyingi si kweli!

Hii shule ilipaswa kuwa Bukoba ambapo Museveni alijificha wakati wa mapambano! Ila ikapelekwa Chato.


View: https://youtu.be/vLTb7T7IT2s?si=L20LEYB6qA_51bqD

Pili kutaka kumega Ngara kutoka mkoa wa Kagera na kuanzisha mkoa wa Chato! Siasa za kipumbavu za Kikabila!

View: https://youtu.be/vZi1cSp0B7E?feature=shared

Wenyeji wa kata za Muleba walikataa!

View: https://youtu.be/DeHHypUZuEA?si=3BvSK9Z66LaNRh-N


View: https://youtu.be/y02hiS53ewc?si=BMtKx5KsTea37ter
 
so inamaana na huu mradi ulianza kipindi cha magu 😂😂😂😂😂😂😂
Kwa mwaka 2020/2021 magu alikaa nusu mwaka maana mwaka unaisha 30/6 ujenzi wa hivi vituo uliendana na mradi wa madarasa ya COVID ambayo kimsingi yamejengwa kipind Cha 2021/2022 haya yalikuwa madarasa ya sekondari
2022/2023 kukawa na miradi emergency kwenye hospitali zote za wilaya 350mil na utanuzi wa hospitali na zile wilaya ambazo hazikuwa na hospitali ujenzi ukaanza.
 
Tatizo lenu mnalazimishia watu his accomplishments ambazo nyingi si kweli!
Nilitamani mtu aniletee mapato ya mauzo ya madini kabla 2021 tulinganishe na saa hiii. Magu anaweza kuwa alibadilisha Sheria ila akafukuza wanunuzi saa hii wanunuzi wanafurika labda kwa sababu ya ufisadi wa Samia 🤣🤣
 
Back
Top Bottom