Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

anza sekta yoyote alaf nikuulize maswali ๐Ÿ˜‚
Tunaanza na sekta ya Michezo
-Benjamin Mkapa imekarabatiwa mara 2,wakati wa uzinduzi wa AFL na Sasa wakati wa maandilozi ya Afcon 2027,in both cases ni billions of money
-Serikali imeweka nyasi bandia viwanja vyote vikubwa na kufunga taa kuanzia CCM kirumba Hadi Dodoma
-Serikali inajenga Sports Complex ya Malya
-Serikali imetoa mikopo Kwa wasanii
-Serikali inajenga Uwanja wa Afcon Arusha,inakarabati viwanja vya mazoezi Mikoa mbalimbali juzi tuu hapo wameingia mkataba na Suma JKT
-Serikali inajenga Uwanja wa Mpira Dodoma,na inajenga Uwanja Cha gamani wa Michezo huko huko Dom.
-Serikali imejenga uwanja wa Kinondoni,Manyara,na inajenga viwanja vingine Maeneo mbalimbali eg Sengerema,Chunya,Tunduma,Moshi nk nk
-Imejenga viwanja vya Golf Dodoma, Serengeti nk
-Imejemga uwanja wa mashujaa Dodoma

Hiyo ni Baadhi tuu,nikikumbuka vinginevyo nitaongezea.

Tuje sekta gani nyingine?
 
Tunaanza na sekta ya Michezo
-Benjamin Mkapa imekarabatiwa mara 2,wakati wa uzinduzi wa AFL na Sasa wakati wa maandilozi ya Afcon 2027,in both cases ni billions of money
-Serikali imeweka nyasi bandia viwanja vyote vikubwa na kufunga taa kuanzia CCM kirumba Hadi Dodoma
-Serikali inajenga Sports Complex ya Malya
-Serikali imetoa mikopo Kwa wasanii
-Serikali inajenga Uwanja wa Afcon Arusha,inakarabati viwanja vya mazoezi Mikoa mbalimbali juzi tuu hapo wameingia mkataba na Suma JKT
-Serikali inajenga Uwanja wa Mpira Dodoma,na inajenga Uwanja Cha gamani wa Michezo huko huko Dom.
-Serikali imejenga uwanja wa Kinondoni,Manyara,na inajenga viwanja vingine Maeneo mbalimbali eg Sengerema,Chunya,Tunduma,Moshi nk nk
-Imejenga viwanja vya Golf Dodoma, Serengeti nk
-Imejemga uwanja wa mashujaa Dodoma

Hiyo ni Baadhi tuu,nikikumbuka vinginevyo nitaongezea.

Tuje sekta gani nyingine?
so uwanja wa benjamin mkapa umafanyiwa ukarabati mara mbili heheh in just two yrs okey leta thamani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ccm kirumba haitumii nyasi bandia so far na sio kiwanja cha serekali

kwamba serekali imetoa mikopo kwa wasanii bei gani ???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au 1b usd

so uwanja wa AFCON arusha cost yake ni ngap ??? 1b usd????
 
Umepoteza maboya mzee. Nenda kwenye jukwaa la siasa ukashindane na wenzako. Tuachie hii battle umekushinda. Kwa sasa haupo tofauti na teargas.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
so uwanja wa benjamin mkapa umafanyiwa ukarabati mara mbili heheh in just two yrs okey leta thamani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ccm kirumba haitumii nyasi bandia so far na sio kiwanja cha serekali

kwamba serekali imetoa mikopo kwa wasanii bei gani ???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au 1b usd

so uwanja wa AFCON arusha cost yake ni ngap ??? 1b usd????
Hii ndege alinunua Mama yako?

1730663201651.png
 
Anza na kilimo ambayo unaipigia chapuo
Kilimo tena,hapa ndio nyumbani Kwa Samia.
-Kuna hactares 500k za irrigation zinaendelea na ujenzi ,zaidi ya 300bln
-Tumeanzisha Mnada wa chai,hatuendi Mombasa tena
-Serikali imeajiri zaidi ya wahandiai wa Kilimo 1,000
-Imenunua Pikipiki zaidi ya 3,000 na kugawa Kwa maaagisa ugani Nchi nzima
-Imenunua vishkwambi na vipima Ardhi na kugawa Kwa maafisa ugani Nchi nzima
-Imenunua magari ya wahandisi wa Umwagiliaji na kuyagawa Kila Mkoa ,mengine Hadi Wilayani ziadi ya gari 100
-Imefufua mashamba ya ASA na kufunga mifumo ya Kisasa ya irrigation
-Imeomgeza Bajeti ya Utafiti kwenye taarifa za Utafiti eg TARI
-Imeanzisha Kilimo Cha mazao ya biashara Mapya kwenye Baadhi ya Mikoa mfano Kakao Morogoro,Korosho Singida,Katavi Pamba,
-Inatoa ruzuku ya pembejeo, matumizi ya mbolea yameongezeka na kuvua tan 800 Kwa mara ya kwanza
-Uzalishaji wa Korosho umekwenda mara 4,,kutoka korosho kusombwa na malori ya jeshi mpaka kujaa pomoni kwenye maghala ya serikali
-Inajenga kongani ya viwanda vya Korosho Mtwara,zaidi ya Bilioni 300 achilia mbali viwanda vya kubangua koroshi vilivyoanzishwa eg Mkuranga na Kisarawe
-Imeanzisha viwanda vipya vya kuongeza thamani mazao hasa Pamba Katavi,Kigoma na Shinyanga
-Imeanzisha Jiji la Kilimo Mkulazi
-Imejenga na inajenga zaidi ya mabwawa 100 ya irrigation Nchi nzima
-Imewekeza zaidi ya Bilioni 300 kwenye viwanda vipya na vya zamani vya Sukari eg Mkulazi
-Imewezesha Upanuzi wa viwanda vipya vya mazao ya Tumbaku eg Mkwawa Leaf ,Rais alizindua juzi Morogoro
-Tanzania imekuwa namba 2 Kuzalisha Tumbaku Afrika
-Mazao ya Kilimo Sasa yanashindana na Madini,Utalii kuingiza pesa za Kigeni.

Mwisho hiyo ni summary tuu ya kilichofanywa kwenye Kilimo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
20231230_172610.jpg


View: https://youtu.be/1wtGc5Co7LI?si=Xmae2pFVweso81TY

View: https://youtu.be/jryeHwp8RGY?si=g8suVEsKWbeViFcJ
 
so uwanja wa benjamin mkapa umafanyiwa ukarabati mara mbili heheh in just two yrs okey leta thamani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ccm kirumba haitumii nyasi bandia so far na sio kiwanja cha serekali

kwamba serekali imetoa mikopo kwa wasanii bei gani ???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au 1b usd

so uwanja wa AFCON arusha cost yake ni ngap ??? 1b usd????
Ndio imekarabatiwa mara 2,this time lazima ikidhi viwango vya FIFA ,Ile ilikuwa viwango vya CUF.

Sio viwanja vyote vimewejwa nyasi bandia,hapo Mwanza wameweka Nyamagana ila hiyo CCM kirumba inafanyaiwa kukarabati,swala sio Cha Serikali sio ishu.

Huna hoja,nimeshajibu Michezo na Kilimo,taja sekta zingine

Mwisho acha kutaoatapa,zaidi ya Bilioni 10 zimetokewa Kwa wasanii.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ 2020 hii
Alinunua Mama
Mzee wa mipangao ya 2025,Bado u akoma? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Naskia mnapigana vikumbo kufanya biashara ya nafasi ya VP huku yehe anawa zoom Kwa mbaaali ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom