Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna mkuu ichoboy01 yupo humu mda mrefu, anakuzidi wewe kuwa humu, sema hujamuelewa, anapambana na huyo choko anayeitwa choicevariable, huyu ChoiceVariable haeleweki anataka nn, anaponda miradi yote ya Magufuli lkn kuna wakati anasifia, sasa unamchukuliaje mtu kama huyo? Yeye yupo humu kwa ajili ya kumponda Magufuli tu na sio kitu kingine.

Kwanza kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui huyo choicevariable alikuwa anaiponda Tanzania enzi zile za Magufuli, ningekuona haupo biased kama ungeanza na choicevariable na sio mzalendo ichoboy01
Nilishasemaga humu huyo jamaa apigwe ban humu maana analeta mijadala ya kisiasa humu ikiwa jukwaa la siasa lipo,tungejipanga tukawaombee mods wampe pernament ban kwenye huu uzi
 
Mkwere si aliwamilikisha stand ya Ubungo, ikawa kama soko na hawakujenga hata choo.
Unajifanya hujui hilo?
Mkuu hivi ukipewa tender ya kukusanya ushuru Kuna sehemu unatakiwa ufanye mabadiliko ya ramani bila ridhaa au ujenzi wowote?
Mkuu nashauri ufuatlie zabuni zozote za utoaji huduma.
Kama kwenye mkataba ilitamkwa lazima ajenge choo basi ni kosa ila kama hatuna copy au sample ya mkataba wa kina kinje then hizo zinakuwa hearsay na sio facts.
 
Mkwere si aliwamilikisha stand ya Ubungo, ikawa kama soko na hawakujenga hata choo.
Unajifanya hujui hilo?
Mkuu kwanza utambue kabisa ubungo basi terminal ilikuwa chini ya manispaa ya ubungo na kama alikuwa ni kinjekitile ngwale ndio alipata tender ya ukusanyaji ushuri hakuwa na uwezo wa kujenga choo maana haikuwa Mali yake na ingekuwa ni kinyume na mkataba.
Kwa ushauri fuatilia ripoti ya mapato kwa manispaaa ya ubungo kwa kipindi chote utakuta taarifa ya mapato yatokanayo na ushuru wa stendi yalikuwa yanasoma. Sasa kama yalikuwa yanasoma ikawaje yasome ubungo wakati kinje alikuwa amemilikishwa. Walau ungesema kuwa hakukuwa na open tender ya kumpata mzabuni ungeeleweka .
 
Mkuu kwanza utambue kabisa ubungo basi terminal ilikuwa chini ya manispaa ya ubungo na kama alikuwa ni kinjekitile ngwale ndio alipata tender ya ukusanyaji ushuri hakuwa na uwezo wa kujenga choo maana haikuwa Mali yake na ingekuwa ni kinyume na mkataba.
Kwa ushauri fuatilia ripoti ya mapato kwa manispaaa ya ubungo kwa kipindi chote utakuta taarifa ya mapato yatokanayo na ushuru wa stendi yalikuwa yanasoma. Sasa kama yalikuwa yanasoma ikawaje yasome ubungo wakati kinje alikuwa amemilikishwa. Walau ungesema kuwa hakukuwa na open tender ya kumpata mzabuni ungeeleweka .
Duh!! Ndugu kuna vitu huvijui bora ungekaa kimya tu. Please watu wanahasira na usiamshe hasira zao.
 
Duh!! Ndugu kuna vitu huvijui bora ungekaa kimya tu. Please watu wanahasira na usiamshe hasira zao.
 
Mkwere si aliwamilikisha stand ya Ubungo, ikawa kama soko na hawakujenga hata choo.
Unajifanya hujui hilo?
Smart holding ambayo ndo ilikuwa kampuni ya kinje iliondolewa 2009 kipindi Cha jk Sasa ikawaje awamilikishe na kumbuka hiyo kampuni ilianza kazi 2004 chini ya mkapa Sasa kikwete aliimilikishaje wakaqt mkataba umeingiwa kabla hajawa rais . Kwenye ukweli tuwe wakweli ndio kampuni ilikuwa ya kifisadi lakini sio kwa level za kumpamba malaika kwa kiasi hicho
 
Renovation of Kasarani is ongoing.

Players Changing rooms

1730745906426.jpeg
 
Nyie mnaleta mambo ya ki maku na hata kuwasifia wakiana Kinje, walio sababisha kwa kiasi kikubwa kuzorotesha uchumi wa Tanzania.

Hiki Kizee kingese na kichawi!
View attachment 3143496
Kampuni ya smart ilianza kazi mwaka kipindi Cha mkapa 2004 na ikakoma kipindi Cha kikwete 2009
 
Top 100 Banks in Africa, Kenya is represented by 10 Banks while Tanzania is only represented by 2 Banks.

 
Back
Top Bottom