ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nakuuliza swali nioneshe investments za 50 trillion in just 3 yrs 😂😂😂😂😂Unataka tuanze na sekta gani kukujulisha ,yaani tuanze Wizara Moja Hadi nyingine tukimaliza tutakuja kuuliza matumizi ya Trilioni 56 za awamu ya 5.
Taja sekta ya kuanzia maana Kwa SSH. Miradi ni utitiri sio ya kutafutiza Kwa tochi au kuomba Ile Ile kama ya awamu ya 5.
kwamba tumekopa 50 trillion kwa ajili ya investmenta in just 3 good yrs yani over 20b usd alooo aiseee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻