Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ila hapa wamefeli kadogosa apitie hzi bei tena unless waseme tu kua mchongoko ni kwa ajili ya viongozi na watu mashuhuri but sio kwa mtanzania wa kawaida.
Hapana hawajafeli wanalo soko linalohitaji hivo, wapo wanaopanda ndege kwenda Dodoma.Kwa sisi raia wa kawaida usafiri wa kawaida upo.
 
Ngoja. Soon napanda hiyo Air Tanzania. Nitapiga picha nitaleta hapa. Nipe muda

Maana nyinyi mnatetea vitu sijui mnaishi Tanzania gani? Tuache ushabiki tuongee ukweli na uhalisia.

Hii tabia ya kukubali kubali kila kitu ili ulinde kibarua inaliangamiza taifa. Sometimes you have to challenge and think of the reality. Don't just think of your class and status.

Anyway naacha hii mijadala ya EMU.
Tunangoja na tutakukumbusha humu! Labda route ya Bukoba!
 
Kwani ni mimi ndio nilisema ati Tanzania inapika their economic data ama World Bank and IMF? Mbona unaniletea hasira zako wakati wenye walisema hivo unawajua? Should I give you their mails to express your anger and disapproval?😂😂
These guys enjoy sealioning. Anajua ukianza kujieleza atakusumbua na maswali za ujinga Hadi ukasirike na hapo atajiona mshindi. Aende akaulize World Bank na IMF.🤣🤣
 
Umeshinda kutafuta engagement unadhani huyo ni kama wewe? The part page has been there even before Elon Musk bought X. Because wameongelea something touching Tanzania lazima tu mngekasirika.

Anyway how are you doing with looking for engagements your zero likes posts😂
Unajua nina miliki accounts ngapi wewe bundi?

Owner wa hiyo account ni Mnigeria. Nimekwambia, lete source ya hiyo habari, simple.
 
Watu mnaoenda na magari yenu Dodoma mjiorodheshe majina yenu tuone kama mtakuwa mnaijaza hiyo treni kila siku kwenda na kurudi.

Bei ziwekwe kwa unafuu wa kila mtu, sio watu wachache. Kodi zilizotumika kujenga ni zetu sote. Sio za matajiri peke yao. Ingekuwa laki ningeelewa ila laki na nusu parefu sana mzee.
Ujio wa treni umefanya watu wengi waache kuendesha wanapanda treni. Hio ni ile servive ya kawaida. Hata wanaopanda mabasi wameacha kwasababu nauli ya treni ni sawa na ya bus. Hakuna watu wapya wa kuacha kuendesha wapande EMU. Akili yao watu wataacha ile service ya kawaida wapande EMU. Tusubiri muda utaongea. Mtu atoe 300,000 si bora aendeshe maana gharama ni ile ile na ukifika DOm au Moro unakuwa na gari yako ya kupigia misele. Watu waliachana na magari kwasababu ya unafuu wa gharama. Tujipe muda tutaona kama itajaa hio huduma ya 150k.
 
Ujio wa treni umefanya watu wengi waache kuendesha wanapanda treni. Hio ni ile servive ya kawaida. Hata wanaopanda mabasi wameacha kwasababu nauli ya treni ni sawa na ya bus. Hakuna watu wapya wa kuacha kuendesha wapande EMU. Akili yao watu wataacha ile service ya kawaida wapande EMU. Tusubiri muda utaongea. Mtu atoe 300,000 si bora aendeshe maana gharama ni ile ile na ukifika DOm au Moro unakuwa na gari yako ya kupigia misele. Watu waliachana na magari kwasababu ya unafuu wa gharama. Tujipe muda tutaona kama itajaa hio huduma ya 150k.
Nyie subirini. Hamtaamini macho yenu
 
tanzania ni kama europe yao 😂😂😂

IMG_0856.jpeg
 
Ujio wa treni umefanya watu wengi waache kuendesha wanapanda treni. Hio ni ile servive ya kawaida. Hata wanaopanda mabasi wameacha kwasababu nauli ya treni ni sawa na ya bus. Hakuna watu wapya wa kuacha kuendesha wapande EMU. Akili yao watu wataacha ile service ya kawaida wapande EMU. Tusubiri muda utaongea. Mtu atoe 300,000 si bora aendeshe maana gharama ni ile ile na ukifika DOm au Moro unakuwa na gari yako ya kupigia misele. Watu waliachana na magari kwasababu ya unafuu wa gharama. Tujipe muda tutaona kama itajaa hio huduma ya 150k.
Ukiona unabweka hivi, jua Wewe si abitria mtarajiwa wa hii huduma’ wacha waheshimiwa na Ma-CEO wapumue kidogo!

Hata Airports kuna Business/VIP Lounge kwa ajili ya wale walio tayari kulipia!
 
Watu mnaoenda na magari yenu Dodoma mjiorodheshe majina yenu tuone kama mtakuwa mnaijaza hiyo treni kila siku kwenda na kurudi.

Bei ziwekwe kwa unafuu wa kila mtu, sio watu wachache. Kodi zilizotumika kujenga ni zetu sote. Sio za matajiri peke yao. Ingekuwa laki ningeelewa ila laki na nusu parefu sana mzee.
Corporates, serikali na affluent Tanzanians watalipa na kuijaza shida nini mkuu ni EMU ama kuna kingine? 😁
 
Back
Top Bottom