Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Sijaona penye amesema yeye ni Tanzanian. Going by this tweet then mtu anaezasema yeye ni Mkenya pia, mbona mnakuanga hivi?😂😂 That guy call every African country home, mnakuanga rahisi sana kudanganya 😂😂
View: https://x.com/mkainerugaba/status/1481456943621361667
Hadi mtu kusema “Tz is my homeland”what does it mean.? Then kimsingi Muhozi ni raia wa Tz wa kuzaliwa. Sasa wew endelea kukaza fuvu, mana ni kawaida yako kubisha.