Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nenda ukaulize World Bank and IMF. Hao ndio walisema Tanzania is cooking their economic numbers.
Ulitakiwa ulete wewe sio narrative zako za kijinga. Kuokota okota vigazeti wakati that time walikua Against na Kila serikali ilifanyalo kufeed propaganda ya kuepusha Investors wasije.
 
Hiyo what if, ni Assumption (Nakuhakikishia Behewa nane zote zitakuwa zinajaa). Watu hatufanani bro. Hiyo 150,000 haifikii hata kima cha chini cha posho ya mtumishi wa kawaida kwa siku.
Muda utaongea.
Na kama mnasema hivyo. Ndege zingekuwa zinajaa. Air Tanzania inaenda ikiwa nusu na ni haraka sembuse Treni yenye mabehewa nane?
 
Mkuu lengo kuu ni kutoa huduma kwa wasafiri sasa kama cheaper options ziko kwa SGR choice ya type of train na class ni non starter maana hata kwenye locomotive pulled SGR kuna business class which is still affordable.
Hapo ni kama unataka bei ya business class kwenye ndege ishuke ili kila mtu aweze ku afford tuwaamini TRC labda wamefanya market research na kuona hizo nauli ziko sawa na pia kama wako right kwa hizo nauli na treni ikajaa basi itasaidia kuendelea kutoza affordable fares kwa ile treni nyingine maana itakuwa ina complement cheaper train fares kwa walio wengi. Yani matajiri watakaokuwa wanapanda EMU watakuwa wanasaidia kufanya fare za treni nyingine ziwe chini na huduma iendelee bila vikwazo.
Kitu ambacho wanashindwa kuelewa hiyo business model!
 
Ingekuwa ya kawaida ndege za Air Tanzania zinagekuwa zinajaa... sasa ndege inabeba watu sijui 76 na haijai...ndo iwe treni inayobeba watu zaidi ya 500.

Muda utaongea.
Acha uongo mzee. Hii hapa leo

1730097103141.png
 
Ulitakiwa ulete wewe sio narrative zako za kijinga. Kuokota okota vigazeti wakati that time walikua Against na Kila serikali ilifanyalo kufeed propaganda ya kuepusha Investors wasije.
Wewe endelea tu kulia, uzuri now everybody knows that Tanzania cooks their figures after you were exposed by World Bank and IMF😂
 
Back
Top Bottom