Jibu rahisi hana hiyo data wala hatakaa awe nayo bali ni blind patriotism ndio inamsumbua.why would I, mbona ni simple tu ulete hiyo cooked.
Jibu rahisi hana hiyo data wala hatakaa awe nayo bali ni blind patriotism ndio inamsumbua.why would I, mbona ni simple tu ulete hiyo cooked.
Huyo ni taahira wa humu ndani inabidi umzoee tuu hivyo hivyo.Mie kila Nikiingia Humu Naona mmoja Anapost Mabasi Nakujisifu
Ajabu Anaposti Basi lipo Sehemu Chafu mtaani Sion Akipost yakiwa Stand kama Huku
Inamaana Wao wanapandia Basi Hovyo hovyo bila Ya Utaratibu
Kama Unataka Wakenya wote Wapotee humu JFIwekwe Battle Stand za Tanzania Vs Kenya
Hapa Padogo sana Ilitakiwa Iwe Stand ya Gari Ndogo kama MwengeKama Unataka Wakenya wote Wapotee humu JF
Lete hiyo mada hapa
Hawataki hata Kuisikia Never
Hebufikiria
Hapa ni ndio makao makuu ya Mji wao Wanao Jisifia Kuna Kituko kama hiki
Na hapa walivyo Majuha Wakifika Wao wanajiona Wapo Ulaya
😂😂😂
Shida ya Mikunya Ni sifa na Kuamini wao wapo Mbaali kumbe hovyo
View attachment 3138098
Usilinganishe hiyo Takataka Yao na Mwenge kamweHapa Padogo sana Ilitakiwa Iwe Stand ya Gari Ndogo kama Mwenge
Fananisha stend zao labda na magulio ya vijijini huko labdaHapa Padogo sana Ilitakiwa Iwe Stand ya Gari Ndogo kama Mwenge
They will even dispute their government report as long it puts below Kenya, very foolish people😂😂😂These guys enjoy sealioning. Anajua ukianza kujieleza atakusumbua na maswali za ujinga Hadi ukasirike na hapo atajiona mshindi. Aende akaulize World Bank na IMF.🤣🤣
Wametulinda aje? Wakisema Tanzania inapika data hiyo ni kulinganisha Kenya and ama kuumbua uwuozo uliopo in your statistical body?😂Kenya ni mtoto wa beberu hivyo beberu lazima amlinde mtoto, nakudokeza🤣
I don’t care how many account you own. As long as you look for interactions huku JF after kushindwa kuzipata huko X clearly shows how foolish you.Unajua nina miliki accounts ngapi wewe bundi?
Owner wa hiyo account ni Mnigeria. Nimekwambia, lete source ya hiyo habari, simple.