Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani hakuna options cheaper za kwenda Dodoma by SGR?
option cheaper zipo lakini kila mtanzania ana haki sawa, hata maskini anatamani kupanda mchongoko je bei iliowekwa inamtamanisha nayeye apande??

tajiri hata akiwekewa laki tatu kwake its ok sasa je yule maskini umemfirikia na yeye na yet its public transport na tumejisifu hapa kua tume cut fuel cost from 40% to 10% umeme

kuna jambo haliko sawa kama mutanielewa nn namaanisha
 
Data zinadai TZ iko katika 15 maskini zaidi duniani,wewe unaona sawa kabisa na kiuhakika tupo kwenye top 10 ya nchi zilizo na uchumi mzuri afrika!tbs wachinjwe dec wale,GDP yetu kwa sasa hamna anaetufikia east africa
Ila kwa umaskini hapo napinga buana hayupo hapo
 
Kuna data yoyote kifedha yenye uhalisia about Kenya ukitoa Slums na Njaa?
As long as everybody else trust our figures we don’t care what a beggar like think. Again the last time I checked IMF flagged Tanzania for cooking their numbers.
 
As long as everybody else trust our figures we don’t care what a beggar like think. Again the last time I checked IMF flagged Tanzania for cooking their numbers.
Hehehe look who talking, eti Tanzania cooking numbers?

Anyway tafuta nchi yenye Chai Maharage for your transportation comparison.
 
Bora hii offer ya Amsons huko Kundustan imeshindikana Ili Sasa waelekeze Nguvu kufanya Upanuzi wa Kiwanda Mama Cha Mbeya Cement na kujenga kiwanda kipya Cha Mbeya Cement Tanga kama walivyosema wiki Jana 👇👇

View: https://x.com/BD_Africa/status/1849986806953156647?t=7jN26rnN8ugMz8mB-pdSvg&s=19

View: https://x.com/BD_Africa/status/1850073621571547402?t=pAD2r2CpfQVruZvqXb_zxA&s=19

Kiwanda cha mbeya ll na Tanga ni uwekezaji wa serikali kama shareholder wa mbeya cement sio amsons kama yeye, baada ya uwekezaji serikali itakua na hisa zaidi ya 90% mbeya cement
 
Kiwanda cha mbeya ll na Tanga ni uwekezaji wa serikali kama shareholder wa mbeya cement sio amsons kama yeye, baada ya uwekezaji serikali itakua na hisa zaidi ya 90% mbeya cement
Kama hivyo ndivyo, Serikali ilishindwa nini kufufua hicho kiwanda kilichokuwa kinakula hasara miaka yote? Kwa nini wasijenge kiwanda wao kama wao hao Serikali Hadi wawe wanakuwa kwenye mgongo wa wawekezaji?
 
Hehehe look who talking, eti Tanzania cooking numbers?

Anyway tafuta nchi yenye Chai Maharage for your transportation comparison.
Didn’t you know that IMF flagged your country for cooking figures?😂😂👇👇👇

1730040914765.png
 
Bamburi is the biggest Cement company in East Africa that’s why hao warabu wa Tanzania wanted to buy it lakini hakuwa na uwezo.
Kuwa biggest ndio kunafanya msile hasara Hadi kutegemea investors wengine wa inject pesa kuiokoa?
 
Hehehe look who talking, eti Tanzania cooking numbers?

Anyway tafuta nchi yenye Chai Maharage for your transportation comparison.
Tanzania is the only country known for cooking economic figures, hakuna siku Kenya iashaikuwa flagged by IMF and World Bank for cooking numbers😂😂👇👇

1730041208607.png
 
Wachawi wamekazana na ooh mara nobody trusts Kenyan economic figures when in real sense Tanzania pekee ndio nchi imekuwa flagged for 3 consecutive years for cooking their figures both by World Bank and IMF😂😂
 
option cheaper zipo lakini kila mtanzania ana haki sawa, hata maskini anatamani kupanda mchongoko je bei iliowekwa inamtamanisha nayeye apande??

tajiri hata akiwekewa laki tatu kwake its ok sasa je yule maskini umemfirikia na yeye na yet its public transport na tumejisifu hapa kua tume cut fuel cost from 40% to 10% umeme

kuna jambo haliko sawa kama mutanielewa nn namaanisha
Unazingua. Haki huwa inaenda na wajibu.

Timiza wajibu upate haki.
 
Back
Top Bottom