Ubishi wa leo bei za Train.
Mnaweza ona bei ni Sawa 120,000 yes it make sense kwenu, kama mlivyosema kuna option nyingi, what If watu wakaamua kutumia zaidi option hizo wanazozimudu na hiyo michongoko ikawa haipati volume inayotegemewa, mwisho ianze kuonekana Hasara tu kama Air Tanzania route za Ndani baada ya kumtimua FastJet.
Hatuna baya nazo, zinatumia umeme wetu fully from JNHPP maji ya RUFIJI, sio diesel obviously cost ni ndogo.
Na ieleweke mostly SGR wengine wanaitumia iwafikishe Dodoma haraka you adake another kwenda tuseme Mwanza ikiwa Katarama na Irzar yqke hiyo 120,000 unapanda na unapata kila huduma 1000km.
Nachojaribu kumaanisha hakuna baya nauli zikiwa hivyo, ni kuwa with existing competition kwenye transportation Ndege, Train, Luxurious Buses, na hiyo SGR ina behewa class za chini ni Nzuri na zinafika muda sawa kabisa na hiyo Royal kwa kupishana dakika kadhaa.
Itakuawe watu wengi wakizikacha watumie zingine kwa wingi, Mchongoko itakuaje ikiwa haipati kama ilivyopangwa na zipo kadhaa?
Making it affordable sio kwa ubaya ikiwa Dar Moro ni 13k ordinary, alafu ghafla Royal upo 60k inakuaje na muda wa kufika unakuta uleule labda kupishana dk kadhaa.
Siku mchongoko ukianza kuonekana eti hautumiki kama ulivyotegemewa unaharibu hela za walipakodi tuanze tena kutafutana.
Mkumbuke hao mnaowaita viongozi wana AIR TANZANIA pia.