Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Kwa kiingereza kama hiki kunyan wanaanzaje sijui kujisifu šKingereza chenyewe ndio hiki cha "computer rail" instead of "commuter rail" wakafundishe machokoraa wao wa Mathare.
Kwa kiingereza kama hiki kunyan wanaanzaje sijui kujisifu šKingereza chenyewe ndio hiki cha "computer rail" instead of "commuter rail" wakafundishe machokoraa wao wa Mathare.
Yeye amekaa Nairobi na akakaa Dar. Hana emotional attachment kwa either city na ametoa maoni kwamba Nairobi Ina sidewalks na Dar haina. Wewe uliye na emotional attachment kwa Dar na hujawai fika Nairobi unataka tukuamini na yeye tusimuamini? šššHuyo ndo alisema Dar haina sidewalks. Nairobi zimejaa.
Hapo nikamuignore. Mwanzo nilijua mtu wa maana kumbe naye boya tu.
Wakenya watamuabudu na kuamini kitu asemacho kisa yeye ni mzungu ata kufanya utafiti binafsi hawafanyi
Hapo kwao wangekuandikia '10km from CBD'ššSijui watanzania wanapata nguvu wapi ya kushindanisha Dar Na Nairobi. Roads like this you canāt find anywhere in Tanzania.
View attachment 3135641
When I told these witches that Katarama Marcopolo buses were built in Kenya walinipinga, itās now good the truth is coming out.
View: https://x.com/BusesNation/status/1850232735467536661
Sijaona penye amesema yeye ni Tanzanian. Going by this tweet then mtu anaezasema yeye ni Mkenya pia, mbona mnakuanga hivi?šš That guy call every African country home, mnakuanga rahisi sana kudanganya šš
View: https://x.com/mkainerugaba/status/1481456943621361667
My second home maanake Nini? Swali ni, mbona mnamshobokea wakati anaitwa Kila nchi Africa home?š¤£š¤£My Homeland maana yake nini?
Ukiachana na royal class. Hizo class nyingine za EMU ni sh ngapi kwenda Dodoma?Unajua Ile ni biashara na upumbavu Ni pale kungāangāania bei royal class ishuke wakati treni ina behewa nyingine saba zisizo royal class ukiacha sgr ya kawaida! Options zipo nyingi kutokana na uwezo wako!
Sijawahi fika Nairobi au sio.Yeye amekaa Nairobi na akakaa Dar. Hana emotional attachment kwa either city na ametoa maoni kwamba Nairobi Ina sidewalks na Dar haina. Wewe uliye na emotional attachment kwa Dar na hujawai fika Nairobi unataka tukuamini na yeye tusimuamini? ššš
Maneno mengi hayatakufanya ufike Nairobi bro. Wale waliofika kwa evidence ya video na picha wanasema Nairobi is better. Usijiaibishe.Sijawahi fika Nairobi au sio.
Nairobi ukitoa Uptown... Namaanisha kale ka sehemu kuanzia moi Avenue kuja juu huku Kenyatta, kimathi, banda, mama ngina, muindi mbingu, city hall, Agha khan walk hadi Haile selassie na huku uhuru highway
Sehemu zote zilizobaki Nairobi hakuna modern sidewalks, closed Sewage and drainage system, electric cable hunging everywhere, Barabara hazifagiliwi nk...kote huko kuanzia Upper hill ( huku ndo kabisa Barabara zake ni finyu ukiondoa main roads), kilimani, kileleshwa,lavington hadi kule slum ya kawangware, westlands, parklands, Eastleigh huko ndo worse, eastlands ndo worse zaidi...yaan Nairobi has poor horizontal infrastracture tuseme ukweli.
Huwezi linganisha na Dar yenye 100km of BRT System ambayo inacontain modern and developed horizontal infrastracture
Ukweli usemwe
Kuna mtu ale-post humu jishughulishe ku-search!Ukiachana na royal class. Hizo class nyingine za EMU ni sh ngapi kwenda Dodoma?
Kwani nyie mnahesabu vipi hizo njia SI sita au?Hili daraja wangefanya liwe njia 6 kwa magari ya kawaida ukiondoa brt lanes ili kuzingatia upanuzi wa barabara hiyo siku za mbeleni.
Hajui chochote huyo. Kwenye EMU hakuna economy class. Ni Royal na Business tu.Ukiachana na royal class. Hizo class nyingine za EMU ni sh ngapi kwenda Dodoma?
MchongokoUkiachana na royal class. Hizo class nyingine za EMU ni sh ngapi kwenda Dodoma?
Put the total number of containers being handled and stop the stories. Dar port only handled 27Unaumia ukiwa wapi? Are you aware that Mombasa alone handles more than trice the number of ships being handled by all Tanzanian ports?
Sijui Kama wamefanya research vizuri. Hizo EMU zitakuwa zinaondoka tupu.Bei kubwa sana hii. Pili walitangaza Bei ya 120,000 inakuwaje Leo wameongeza mpaka 150,000 naona wanatangeneza ya viongozi kupanda tu hii
Hao jamaa wanaakili za kimaskini. Achana nao. Wanalaumu vitu ambavyo havina msingi. Watashangaa kuona zinajaa everyday.Unajua Ile ni biashara na upumbavu Ni pale kungāangāania bei royal class ishuke wakati treni ina behewa nyingine saba zisizo royal class ukiacha sgr ya kawaida! Options zipo nyingi kutokana na uwezo wako!
Guys hebu acheni malalamiko ambayo hayana msingi. If you want to be at royal level you must have money. Class inaitwa royal mnataka iwe cheap? Ikiwa cheap siyo royal tena.Ukiachana na royal class. Hizo class nyingine za EMU ni sh ngapi kwenda Dodoma?
What is the problem with Tsh 150,000?Mchongoko
Bei kwa Royal Class
1. Dar Dodoma - 150,000/=
2. ā Dodoma Dar - 150,000/=
3. ā Dar Moro - 63,000/=
4. ā Moro - Dar 63,000/=
5. ā Dodoma Moro - 85,000/=
Bei kwa Business Class
1. Dar Dodoma - 120,000/=
2. ā Dodoma Dar - 120,000/=
3. ā Dar Moro - 50,000/=
4. ā Moro Dar - 50,000/=
5. ā Dodoma Moro 68,000/=
Hata bila kwenda mbali sana, number of passengers traveling between Dar and Zanzibar tu ni sawa na idadi ya wasafiri wote Kunyaland nzima currently in all means of transport kwa statistics tu za 2007 mpaka cities commutersHii screenshot ndio transportation?
Haya letās do a Fair comparison;
1. Total Air Transport in Kenya stands at 13M while ya Tanzanian ni 4M.
2. Kenyan SGR ferries 9k people in a day towards one destination while yours only carries 4k towards several destinations.
3. Kenyan buses ferries more people than your buses.