Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni lazima tujenge ya umeme? Unaishi kwa nyumba yenye haijakuwa connected to electricity yet you are here noise about Stalling refurbished electric trains. Ambia Serikali ikuletee umeme karibu na wewe kwanza.
Hii ni 21st century mzee mambo ya climate change hatutaki hewa ya ukaa mijini 🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    33.6 KB · Views: 15
Wakuu nauli za Mchongoko
Royal class
Dar Dom 150,000
Business class
Dar Dom 120,000
Dar Moro
50,000

Maoni yangu hii service ya mchongoko itafeli. I hope to be proven wrong.
Au watu wa Buses wanaleta upuuzi. Kitu kama hicho ndicho kinaweza ingiza pesa ndefu zaidi.

Route ni fupi sana kwa bei hiyo, unless kwa watu ambao wanalipia MUDA sio Leisure transportation
 
Hao TRC wakikomaza shingo wanaweza ua kabisa SGR sijui why Africa kila mradi wa Public lazima ujinga uwepo ili sustainability ipotee.

Mwendokasi ni kitu fresh sana yaani wakati inaanza ulikua comfortable sana unafika kituoni bus unajua lipo litapita bila abiria maana zilikua nyingi, unafika Kariakoo from Ubungo bila noma, same kwa route nyingine, ila ujinga ukazidi watu wakahama hadi eti Daladala zinarudishwa.

Same kwa Ferry Za Kigamboni, ulikua unalipa Miambili unaingia mnaamsha now wamemuachia Azam.

Ifike muda tuwe na chombo nje ya mashirika cha Kuregulate sustainability, quality ya Miundombinu kwa kuchukua hatua kali dhidi ya Hujuma.

Or kuzipa more control kwenye sheria yao, Mfano TANROAD inakataza kufanya biashara hifadhi ya barabara ila kuna wajinga wanagawa vitambulisho vya machinga na vijiwe vya bodaboda
 
Back
Top Bottom